Pages

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Sunday, December 29, 2013

THEE BOSS LADY ''HUDDA MONROE AMPA DONGO JACKIE CLIFF KUHUSIANA NA SAKATA LA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA

Aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’,
Huddah Monroe aka Thee Boss Lady amerusha dongo kwa mrembo wa Tanzania Jackie Cliff ambaye alikamatwa na dawa za kulevya aina ya Heroin nchini china.

Tweet ya Huddah inadai kuwa Jackie Cliff ni mrembo ambaye alitaka kuishi maisha mazuri ya haraka na kutumia vitu vya kifahari, pia akaambatanisha na picha mbili zinazomuonesha Jackie akiwa amepozi kabla ya kukamatwa na nyingine akiwa na pingu, picha iliyotolewa na gazeti la nchini China.
View image on Twitter
Beautiful girl...Wanting to live the "Fast Life" "The good life" Gucci ,Prada,Roberto Cavalli,Alexander Wang!
Katika tweet nyingine Huddah ambaye hupenda kuonesha maisha ya kifahari anayoishi,  amefunguka zaidi na kuonesha kuwa yeye ni muoga na asingeweza kufikia kiwango hicho.
“So this beautiful Tanzanian girl was caught with a KG of Cocaine. 
 
That’s now a BAD ASS B**CH! I’m such a coward…I swear I’m not BAD!” Huddah ametweet.

PREZZO AMJIBU JAGUAR KWA KUONESHA GARI LAKE JIPYA LENYE THAMANI KUBWA.

Unaambiwa wiki moja baada ya staa wa muziki Kenya (Jaguar) kuonyesha gari lake jipya aina ya Jaguar ambalo alionekana nalo alipokwenda kufanya show, zimetoka picha za nje ndani za gari analotembelea rapper CMB Prezzo wa Kenya ambae mara kadhaa waliingia kwenye headlines na Jaguar kwa malumbano mbalimbali ikiwemo kutambiana muziki, mali na uwezo wa kifedha.
 
Gari la Jaguar lenye thamani ya shilingi Milioni 16 za Kenya ambalo liko mwisho wa hii post, aliiingia nalo kwenye uwanja pembeni kabisa ya jukwaa alipokwenda kufanya show ambapo alishuka kwenye gari wakati time yake ya kupanda jukwaani ilipofika, alikua kalipaki karibu kabisa na ngazi za kupandia jukwaani.

Hili ndio Gari ya Jaguar

MSANII DAYNA NYANGE AKANUSHA KUHUSIANA HABARI ZILIZO KUWA ZIMEENEA KUHUSIANA NA KUFANYA UCHAFU UFUKWENI

Mwana muziki wa Bongo freva toka mkoani    Morogoro mwana dada Dayna Nyange, amekanusha kuhusishwa na picha 

zilizomuonesha akifanya uchafu ufukweni akiwa na njemba nusu uchi.  Dayna kupitia page yake ya facebook, ameweka wazi kwamba sivyo kama ilivyoandikwa na baadhi ya mitandao kwamba alfumwa badala yake ilikuwa ni sehemu ya location ya video yake ya wimbo mpya wa mimi na wewe


"Jamani Hizi ni moja ya Picha.... Tulipokuwa location tuna shoot wimbo wangu wa "Mimi Na wewe" Na sivyo kama ilivyo semekana. Na baadhi ya blogs kwamba nimefumwa beach nikijiachia sijui nini Na nani kha!

Thursday, December 12, 2013

AUDIO & VIDEO | DAYNA NYANGE - MIMI NA WEWE


Wednesday, December 11, 2013

RAPPER THE GAME AMECHORA TATTOO YA NELSON MANDELA KUMUENZI

Rapper kutoka pande za Marekani The Game ameonyesha jinsi anavyompenda Nelson Mandela kwa kujichora tattoo ili kumuenzi Nelson Mandela. 

Kupitia mtandao wake wa instagram, The Game alisema


“The finished ‘Nelson Mandela lookin out of the prison bars by @NikkoHurtado done on my side. 7 hour sitting…. Few more hours to tie in the tats around it & we solid. 

#NelsonMandela #RIP #Legend #Leader #Freedom #Peace #Equality #Tattoos #SouthAfrica

Monday, December 09, 2013

JAY Z AONGOZA KWENYE GRAMMY NOMINEES

GRAMMY-TROPHY

Grammy Nominees List: Jay Z Aongoza Kwa Kuwa Nominated Mara Nyingi Katika Grammy Awards 2014

Ujio wa Magna Carter: Holly Grail wa Rapper Jay Z mwaka huu umempelekea kuwa Nominated mara Tisa katika categories mbalimbali katika tuzo za Grammy za mwakani. Soma hapa list hiyo ya nominees watakao kuwa wakiwania tuzo hizo za Grammy 2014:-
Album of the Year
The Blessed Unrest – Sara Bareilles
Random Access Memories – Daft Punk
good kid, m.A.A.d city – Kendrick Lamar
The Heist – Macklemore & Ryan Leiws
Red – Taylor Swift
Record of the Year
“Get Lucky” – Daft Punk and Pharrell
“Radioactive” – Imagine Dragons
“Royals” – Lorde
“Locked Out of Heaven” – Bruno Mars
“Blurred Lines” – Robin Thicke ft. T.I. and Pharrell
Song of the Year
“Just Give Me a Reason” - Pink ft. Nate Ruess
“Locked Out of Heaven” – Bruno Mars
“Roar” – Katy Perry
“Royals” – Lorde
“Same Love” – Macklemore & Ryan Lewis ft. Mary Lambert
Best New Artist
James Blake
Kendrick Lamar
Macklemore & Ryan Lewis
Kacey Musgraves
Ed Sheeran
Best Pop Solo Performance
“Brave” — Sara Bareilles
“Royals” — Lorde
“When I Was Your Man” — Bruno Mars
“Roar” — Katy Perry
“Mirrors” — Justin Timberlake
Best Pop Duo/Group Performance
“Get Lucky” – Daft Punk and Pharrell
“Just Give Me a Reason” – Pink ft. Nate Ruess
“Stay” – Rihanna ft. Mikky Ekko
“Blurred Lines” – Robin Thicke ft. T.I and Pharrell
“Suit & Tie” – Justin Timberlake ft. Jay Z<
Best Dance/Electronica Album
Random Access Memories — Daft Punk
Settle — Disclosure
18 Months — Calvin Harris
Atmosphere — Kaskade
A Color Map of the Sun — Pretty Lights
Best Rock Performance
“Always Alright” — Alabama Shakes
“The Stars (Are Out Tonight)” — David Bowie
“Radioactive” — Imagine Dragons
“Kashmir” (Live) — Led Zeppelin
“My God Is the Sun” — Queens of the Stone Age
“I’m Shakin’” — Jack White
Best Rock Album
13 — Black Sabbath
The Next Day — David Bowie
Mechanical Bull — Kings of Leon
Celebration Day — Led Zeppelin
…Like Clockwork — Queens of the Stone Age
Psychedelic Pill — Neil Young With Crazy Horse
Best Alternative Music Album
The Worse Things Get, The Harder I Fight, The Harder I Fight, The More I Love You — Neko Case
Trouble Will Find Me — The National
Hesitation Marks — Nine Inch Nails
Lonerism — Tame Impala
Modern Vampires of the City — Vampire Weekend
Best R&B Performance
“Love and War” — Tamar Braxton
“Best of Me” — Anthony Hamilton
“Nakamarra” — Hiatus Kaiyote ft. Q-Tip
“How Many Drinks?” — Miguel ft. Kendrick Lamar
“Something” — Snarky Puppy With Lalah Hathaway
Best Urban Contemporary Album
Love and War — Tamar Braxton
Side Effects of You — Fantasia
One: In the Chamber — Salaam Remi
Unapologetic — Rihanna
New York: A Love Story — Mack Wilds
Best R&B Album
R&B Divas — Faith Evans
Girl on Fire — Alicia Keys
Love in the Future — John Legend
Better — Chrisette Michele
Three Kings — TGT
Best Rap Performance
“Started from the Bottom” — Drake
“Berzerk” — Eminem
“Tom Ford” — Jay Z
“Swimming Pools (Drank)” — Kendrick Lamar
“Thrift Shop” — Macklemore & Ryan Lewis ft. Wanz
Best Rap/Sung Collaboration
“Power Trip” — J.Cole ft. Miguel
“Part II (On the Run)” — Jay Z ft. Beyoncé
“Holy Grail” — Jay Z ft. Justin Timberlake
“Now Or Never” — Kendrick Lamar ft. Mary J. Blige
“Remember You” — Wiz Khalifa ft. The Weeknd
Best Rap Album
Nothing Was the Same — Drake
Magna Carta…Holy Grail — Jay Z
Good Kid, M.A.A.D City — Kendrick Lamar
The Heist — Macklemore & Ryan Lewis
Yeezus — Kanye West
Best Country Solo Performance
“I Drive Your Truck” — Lee Brice
“I Want Crazy” — Hunter Hayes
“Mama’s Broken Heart” — Miranda Lambert
“Wagon Wheel” — Darius Rucker
“Mine Would Be You” — Blake Shelton
Best Country Album
Night Train – Jason Aldean
Two Lanes of Freedom – Tim McGraw<
Same Trailer Different Park – Kacey Musgraves
Based on a True Story… – Blake Shelton
Red – Taylor Swift
Best Jazz Instrumental Album
Guided Tour — The New Gary Burton Quartet
Money Jungle: Provocative in Blue — Terri Lyne Carrington
Life Forum — Gerald Clayton
Pushing the World Away — Kenny Garrett
Out Here — Christian McBride Trio
Best Gospel Album
Grace (Live) — Tasha Cobbs
Best for Last: 20 Year Celebration Vol. 1 — Donald Lawrence
Best Days Yet — Bishop Paul S. Morton
God Chaser (Live) — William Murphy
Greater Than (Live) — Tye Tribbett
Best Tropical Latin Album
3.0 — Marc Anthony
Como Te Voy a Olvidar — Los Angeles Azules
Pacific Mambo Orchestra — Pacific Mambo Orchestra
Sergio George Presents Salsa Giants — Various Artists
Corazón Profundo — Carlos Vives
Best Americana Album
Old Yellow Moon — Emmylou Harris & Rodney Crowell
Love Has Come for You — Steve Martin & Edie Brickell
Buddy and Jim — Buddy Miller and Jim Lauderdale
One True Vine — Mavis Staples
Songbook — Allen Toussaint
Best Comedy Album
Calm Down Gurrl — Kathy Griffin
I’m Here to Help — Craig Ferguson
A Little Unprofessional — Ron White
Live — Tig Notaro
That’s What I’m Talkin’ About — Bob Saget
Producer of the Year, Non-Classical
Rob Cavallo
Dr. Luke
Ariel Rechtshaid
Jeff Tweedy
Pharrell Williams

MSANII WA MAREKANI KELLY ROWLAND ANASWA UWANJA WA FISI DAR ES SALAAM


Msanii maarufu wa Marekani Kelly Rowland, ametinga uwanja wa fisi Manzese Dar es salaam jana jioni baada ya kusikia sifa za maeneo hayo ya Uswahilini tangu akiwa USA. 

Msanii huyo ametua nchini kwa tiketi ya MTV kupitia taasisi yake inayojishughulisha na kampeni za kupambana na Ukwimwi (Staying AliveFoundation) ya nchini Marekani, Kelly akiwa balozi wake. 

Akiwa Uwanja wa Fisi, ambako kunasifika kwa ufuska wa kupindukia na rate kubwa ya maambukizi ya virusi vya ukimwi kwa wasichana wadogo, Kelly alitembelea NGO ya EYG (Elizabeth Youth Group) inayojishughulisha na kutoa misaada ya elimu ya HIV/AIDS, uchangudoa, ulevi pamoja na uvutaji bangi kwa vijana nchini.
 

Friday, December 06, 2013

KITULO FM TOP 10 | NYIMBO KUMI ZA WIKI


10:-Nakula Ujana - Ney Wamitego
09:-Basi Nenda - Mo Music
08:-My Dream - Jaguar F| Viviane
07:-Usinihukumu - Criss wamarya
06:-Tubonge - Dk Jose Kamilioni
05:-Roho yangu - Rich Mavoko
04:-Chelewa - Navy Kenzo
03:-Napendeka - Sir Tino Lyno
02:-Usinipe Robo - Amini
01:-Basi Njoo Kariakoo - Abby Skillz F| Ally Kiba & Shetta

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amefariki dunia.

Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela amefariki dunia. 
 
Mandela anaejulikana kama mpigania uhuru, usawa na haki za binadamu atakumbukwa kwa kujitoa kwake katika kuhakikisha watu weusi wanapata haki sawa katika ardhi yao toka kwa utawala wa makaburu kitu kilichofanya atumikie kifungo cha miaka 27 gerezani na hatimaye kuachiwa huru na kuwa rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini. 
 
Dunia nzima imepokea kwa mshituko taarifa za 
kifo cha Mandela huku Rais Jakaya Kikwette akiamuru siku 3 za maombolezo ambapo bendera zitapepea nusu mlingoti. Pumzika kwa amani Tata Madiba.
 

Thursday, December 05, 2013

11 DESEMBA 2013 DJ CHOKA KUACHIA NGOMA MPYA

dj

Ukiwa mfuatiliaji mzuri wa burudani ya muziki, haswa muziki wa hapa nyumbani Tanzania basi jina la Dj Choka halitokuwa geni kwako, kwa kuwa huyu ni mmoja wa ma Dj ambao wanafanya kazi nzuri sana hapa nchini kwa kugawa burudani safi kwa wale wapenzi wa burudani ya muziki wa hapa nchini.

Kupita website ya Dj huyu mahiri, imeripotiwa kuwa Dj huyu anatarajia kuachia ngoma yake mpya siku ya Tarehe 11, December mwaka huu. Dj choka amabaye yupo katika record company ya B’Hitz, ataachia ngoma hiyo mpya iitwayo Stinga Li… ambapo ngoma hii itakuwa ya pili kwa mwaka 2013 baada ya kutamba na wimbo uitwao Press Play.

Wimbo huu mpya umefanyikia katika studio ya B’Hitz chini ya producer mkali, maarufu kama Pancho Latino… kwa hiyo kwa wale wapenzi wa kazi za Dj Choka wakae tayari kwa ajili ya ujio mpya wa Dj huyu amabapo pia atashirikiana na vichwa vipya kabisa katika game, wasanii kama wakina  MIS RIZZY, PLUTO na wengineo.

Drake Aingia Mkataba Na Kampuni Ya Michael Jordan

Msanii wa Young Money kutoka Toronto Rapper Drake ameweka instagram picha tofauti za bidha yake ya Ovo Ikiwa Na Logo Ya Bidha ya Jordan kumanisha kuwa sasa kampuni hizi mbili zinafanya kazi pamoja.  
 
Drake ameonyesha matoleo la  OVO na Jordan X na XII ambayo bado hayajaingia sokoni. 
 
Jordan wametangaza kufanya kazi na Drake kupitia twitter.

WEUSI KUFANYA YAO NDANI YA MBEYA 13|12|2013

WEUSI‬ ndani ya Mbeya tarehe 13.12.13 pale CITY PUB yaani

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AMEWEKA WAZI MSHAHARA WAKE LEO BUNGENI

Waziri mkuu Mizengo Pinda ameweka wazi mshahara wake na kusema kuwa analipwa mshahara wa milioni 6, mshahara ambao ni pamoja na posho ya mke wake.
Pia amesema kuwa mshahara wake hauna tofauti kubwa sana na mshahara wa Rais, kwa kuwa hautofautiani hata milioni 1, na ameongeza kuwa yeye ni mkopaji mzuri sana wa mikopo toka benki

Sunday, December 01, 2013

MWIGIZAJI WA FILAMU YA FAST & FURIOUS ''PAUL WALKER'' WA MAREKANI AFARIKI DUNIA.


Mwigizaji PAUL WALKER wa Marekani afariki dunia kwenye ajali mbaya ya gari. Ni yule wa filamu Fast and Furious

Mwigizaji PAUL WALKER wa Marekani afariki dunia kwenye ajali mbaya ya gari. Ni yule wa filamu Fast and Furious
Muigizaji Paul Walker , anayejulikana  sana duniani kwenye uigizaji kupitia filamu za Fast and Furious , amefariki katika ajali ya gari.

Ajali hiyo imetokea katika eneo la Santa Clarita, kaskazini ya Los Angeles wakati alipokuwa katika tukio la kijamii.

Walker alikuwa ni abiria katika gari aina ya  Porsche kwamba waliopotea kudhibiti na kugonga ama taa ya posta au mti kabla ya kupasuka ndani ya moto .

Kifo muigizaji baadaye kilithibitisha  kwenye ukurasa wake wa Facebook  .

Taarifa kwenye  ukurasa huo  zilisema:
 " kwa moyo  mnzito kwamba tunapenda kuthibitisha kwamba Paulo Walker amefariki leo katika kutisha ajali ya gari wakati akienda kuhudhuria tukio upendo kwa shirika lake kuwasaidia watu duniani kote.

"Yeye alikuwa ni abiria katika gari ya rafiki yake, ambayo wote walipoteza maisha yao .

"Asante kwa ajili ya kuweka familia yake na marafiki katika maombi yako katika wakati huu mgumu sana .

RIP Paul Walker

DESEMBA 2 MWAKA HUU TEAM RACERZ LIFE GROUP (T R L G) WATATAMBULISHA TRACK YAO MPYA ''WASHA WASHA''


Team Racers New Release, Tomorrow 2nd Of December!! Song Called Washa Washa Produced By GihCue At Digital Vibes 
#ConBoi
#Kacci
#Fredrick Mullah
#GihCue

GihCue
Tha TownXon
+255657659969

WASHIRIKI WAWILI KUTOKA NCHINI UGANDA NA RWANDA WASHINDWA KUFIKA FAINALI ZA SHINDANO LA TUSKER PROJECT FAME SEASON SIX

tpfex16
Ikiwa zimebakia siku 7 tu kufikia fainali za shindano la Tusker Project Fame Season Six, weekdn hii shindano hilo liliendelea kama kawa huku washiriki wote washindano hilo walikuwa katika probation/ hatari ya kuondolewa katika kinyanga’nyiro hicho cha kumsaka mshindi wa TPF 6.
Lakini katika probation hiyo washiriki hao walifanikiwa kuokolewa na wapenzi wao ama watazamaji wa shindano hilo kwa kupigiwa kura ili waweze kubakia katika mpambano huo, lakini ilikuwa bahati mbaya kwa washiriki wawili ambao waliyaaga shindano hilo rasmi jana.

Washiirki hao wawili walishindwa kubakia katika shindano hilo kutokana na kuapata kura chache kushinda washiriki wengine, washiriki hao wawili waliyoaga shindao hilo, mmoja ni kutoka Uganda ajulikanaye kwa jina la Kojjo na mwingine kutoka Rwanda mwana dada Phionah.

Ni week moja tu imebakia kufikia Final ya TPF  6, ambapo tuatashuhudia mkali mmoja ambaye atafanikiwa kunyakua ushindi wa shindano hilo mwaka huu.

KITULO FM TOP 10 | BEST OF THE WEEK TRACKS

10:-Sugua Gaga - Shaa
09:-Drive Slow - JCB F| Prof J
08:-Sijiwezi - Maua Sama
07:-Siri ya Mchezo - Fid Q F| Juma Nature
06:-Baba la Baba - Baba Levo (Baba la Baba) F| Amonaizy
05:-Wale Wale - Kala Jeremiah F| Ney Lee
04:-Come Over - Vanessa Mdee a.k.a V Money
03:-Mtemi Pesa - Squeezer F| Belle 9
02:-Usinihukumu - Criss wamarya
01:-Chelewa - Navy Kenzo (Aika,Nareal & Weestar Wazir)

EMMANUEL MSUYA AIBUKA MSHINDI KATIKA FINAL YA EBSS 2013

em

Usiku wa jana jumamosi ndiyo siku ambayo shindano la kumtafuta mkali na mshindi wa Epic Bongo Star Search wa mwaka huu 2013 lilifikia tamati, ambapo katika ufukwe wa Escape  1, jijini Dar-Es-Salaam ndipo Final ya shindano hilo ilifanyika.

Shindano hilo la EBSS 2013, lilikuwa limebakiza washiriki watano tu amabao walifanikiwa kuingia katika fainali za kumsaka star mpya wa shindano hilo, washiriki hao walikuwa ni Amina Chibaba, Emmanuel Msuya, Elizabeth Mwakijambile, Maina Thadei na Melissa John.
eb
Emmanuel Msuya alifanikiwa kuwabwaka washiriki wenzake wanne katika shindano hilo na kufanikiwa kunyakua kitita cha sh milioni 50, pamoja na mkataba mnono wa kurekodi katika moja ya studio kubwa hapa nchini za MJ Records.

Orodha Ya Washindi Wa Tuzo Za CHOAMVA 2013

Kundi La Pro Habo Unit Aka P-Unit kutoka nchini Kenya limeondoka na tuzo mbili kwenye CHOAMVA kwa kushinda kipengele cha video bora ya Afrika Mashariki na video bora ya dancehall. 
 
Pia msanii kutoka Tanzania, AY alikuwa akiwania tuzo ya video bora ya Afrika Mashariki.

Orodha Nzima Ya Washindi Iko Hapa
Most Gifted East African Music Video – P-Unit
Most Gifted Kwaito Music Video – Professor
Mos Gifted African South – Oskido
Most Gifted R&B Music -Banky W
Most Gifted Ragga/Dancehall – P-Unit
Most Gifted West African Music Video- P-Square
Most Gifted Hip Hop- AKA
Most Gifted Dance Music Video -Mafikizolo
Most Gifted Afro Pop Music Video -The Soil
Most Gifted Group/Duo/Featuring – Zone Fam
Most Gifted NewComer – Khaya Mthethwa
Special Recognition Award – P-Square
Most Gifrted Female Video – Zonke
Most Gifted Male Video – Zeus
Most Gifted Music Video of the Year – Wizkid

Friday, November 22, 2013

NYIMBO 10 ZA WIKI REDIO KITULO FM

Zimerushwa na Ergon Elly (katika Picha)
10:-Slow Down - Selena Gomez
09:-Touching Body - J Martins F| Dj Arafat
08:-Skelewu - Davido
07:-Baba la Baba - Baba levo(baba la baba) F| Amonaizy
06:-Imekatika - Timbulo F| X Maleya
05:-Basi Nenda - Mo Music
04:-Siri ya Mchezo - Fid Q F| Juma Nature
03:-Sijiwezi - Maua Sama
02:-Sugua Gaga - Shaa
01:-Usinihukumu - Criss wamarya

SASA KAZI NA BIASHARA ZA JEEZY KUSIMAMIWA NA ROCK NATION YA JAY Z

Rapper Young Jeezy ametangaza kuanza kufanya kazi na  Jay Z na lebel yake ya  Roc Nation.
Jeezy ametangaza taarifa hizi kupitia twitter account yake kuwa Jay z na Lebel yake watasimamia sehemu ndogo ya muziki wake na kampuni yake ya CTE.

Mixtape ya Jeezy ItsThaWorld2 inatoka November 27 na imesimamiwa na producer mkali anaijiita Drumma Boy. Toleo la kwanza la mixtape hii ya #ItsThaWorld ilitoka mwezi wa tano.

In My Head ni joint ya kwanza kutoka kwenye album hio ya Jezzy na tayari ametoa video teaser inayozungumzia ujio huo akiwashirikisha Usher, Future na Ludacris na deejays watakao husika ni DJ Drama na Don Cannon.

Wednesday, November 13, 2013

TIMBULO:-BAADA YA IMEKATIKA HIKI NDICHO KINACHOFUATA.




The Hit Maker wa Nyimbo kama Waleo wakesho,Bado Kijana,Domo langu na Anayefanya Vizuri na Kazi yake mpya ya IMEKATIKA aliyowashirikisha X Maleya Kutoka Cameroon si mwingine ni TIMBULO amefunguka kuhusu mpango mzima jinsi Video ya Wimbo Huo itakavyofanyika.

Timbulo amesema Kuwa Endapo Ratiba zao (Timbulo na X Maleya) Zikikaa Vizuri basi kunaoption tatu ambazo wamezipanga ikiwa ni moja Kukutana na X Maleya London Uingereza au Ufaransa Au Timbulo Kusafiri mpaka Comeroon na Kufanya Video Hiyo na Chaguo la Tatu ni X Maleya Kufanya Clip za Video ambozo zinawahusu na Kuzituma Tanzania kama ilivyokuwa Audio yake na Kisha Director atakaye Husika Kushoot Video ya Wimbo Huo Kuzifanyia kazi Clip Hizo kwa Kuziunganisha.

Ameyasema Hayo wakati akifanya Mahojiano na Ergon Elly katika kipindi Cha 970 SHOW kinachorushwa Kupitia Redio Kitulo Fm wilayani Makete Mkoani Njombe na Kuongeza kuwa Mipango Imeshaanza.

Awali wakati Timbulo akizungumzia Ujio wa Wimbo wake Mpya ambao Leo Unaitwa IMEKATIKA alisema kuwa utaitwa ELASTIC YA PENDO lakini Mara baada ya Wimbo Huo kukamilika alichukua Jukumu la Kuwasikilizisha Baadhi ya Watu wake wa Karibu na Kumshauri Kazi Hiyo iitwe IMEKAIKA na Kuongeza Kuwa mpango wa Kufanya Version Mbili uliota mbawa Kutokana na X Maleya Kuwa Busy na Kazi…..Kama Ulikuwa haufahamu ni kwamba Ilitakiwa Kazi Hiyo Itengenezwe Tanzania Kwa Producer  Man Walter na Cameroon na Wao X Maleya na Ichaguliwe moja ambayo itafaa kuachiwa Rasmi kwenye Vituo Vya Redio.

IMEKATIKA sasa Iko katika Vituo vya Redio vya Tanzania na Cameroon na Ni Mali Halali ya Timbulo na X Maleya kwa Maana kila Mmoja anahaki ya Kuitumia Kokote Duniani….Alisema Timbulo.

‘’Namshukuru Mungu Mipango yote ambayo niliitangaza mwanzoni mwa mwaka huu Imekamilika kwa Kiasi kikubwa ikiwa ni pamoja na kufanya Collabo kubwa na ya kwanza Tangu kuanza kwa Muziki na Wasanii Kutoka Cameroon X Maleya….Pia kuikamilisha Albam ambayo ni vitu vichache tu vimesalia’’….Alisema Timbulo

hHuHHHHhhhhhhhhhhkl;f eya;TPHHHHHHH

Tuesday, November 12, 2013

USIKU WA MBALAMWEZI UTAKAO WAKUTANISHA WASANII KIBAO KWENYE STAGE MOJA




The Hit Maker wa Joint ya Mapenzi na Shule,Odemba,Si Kosa Lake na Zingine Kibao na anayewakilisha kundi la EMG Classic kutoka Wilayani Makete Mkoani Njombe Si Mwingine ni Y Jay Anatarajia Kufanya Uzinduzi wa Video ya Wimbo wake Mpya "Mbalamwezi" Siku ya Jumamosi ya Tarehe 16|11|2013 Pale Ikonda Mseketwa PUB na Jumapili ya Tarehe 17|11|2013 Uzinduzi Huo Utaendelea Makete Mjini katika Ukumbi wa Francis Kona.

Mbalamwezi Audio Imefanyika katika Studio ya Vision Record's na Producer Aldo Sanga na Video Imefanyika na The Super Director Edwin Moshi.

Y Jay Atazindua Nu Joint Kama Sinyora aliyowashirikisha Kundi la SHABABI International kutoka The Green City (MBEYA) na Sina Mpangonao zote Hizo Zimefanyika Katika Studio ya Vision Record's na Producer Fredy.

Katika Uzinduzi huo Atasindikizwa na Wasanii kama Sianda Mzee wa Tambiko,Mackford,Calvin Paul,The Galax Dancers na Mr Releasin' Every Dreams (Mr R.E.D) ambaye pia ni Mwanakundi la EMG CLASSIC.

Usiku Huo wa Mbalamwezi Umedhaminiwa na Mama Serengeti,Nick Cosmetics,Cathelyne Muuzaji maarufu wa Vyombo vya Nyumbani,Mtandao wa Kijamii wa ELLY BLOG na EDDY BLOG,Vision Record's,Y JAY Fashion wauzaji wa Pamba kali za Mtumba,Kitulo Fm Pamoja na Haroon Hardware & Music System.

SHIRIKA LA TUNAJALI (WE CARE) LINATARAJIA KUZINDUA MRADI WA ZERO VVU KWA MIKOA YA IRINGA NA NJOMBE

 
Picha na aminia website
 
Na Veronica Mtauka
 
Shirika la TUNAJALI linatarajia kuzindua mradi wa zero Vvu katika mkoa Njombe na Iringa ili kutokomeza maambukizi mpya ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

Hayo yamebainika mapema hii leo mjini Makambako mkoani Njombe kwenye kikao cha wadau na wanahabari wa vyombo vya habari vya mkoa wa Njombe na Iringa ambapo wanahabari hao wametakiwa kuwa chachu ya kutumia vyombo vyao vya habari katika kutoa elimu kuhusu tiba ya ART kwa maisha yote kwa wajawazito na wanaonyonyesha wenye maambukizi ya virusi vya UKIMWI.

Katika kikao hicho imebainika kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kupunguza viwango vya maambukizi ya virusi vya UKIMWI kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.

Tanzania imelenga kutokomeza maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi miongoni mwa watoto na kuwafanya akina mama waishi kwa muda mrefu zaidi.

Mpango huu umezinduliwa na mh. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania DR.Jakaya Mrisho Kikwete mkoani Lindi siku ya Ukimwi duniani mwaka 2012 na umeadhimia kufikia malengo ya kutokomeza maambukizi hayo kutoka asilimia 26 mwaka 2011 hadi asilimia 4 ifikapo mwaka2015.

BREAKING NEWS:-MJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA DK SENGONDO MVUNGI AFARIKI DUNIA

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi amefariki dunia nchini Afrika Kusini ambako alipelekwa kupatiwa matibabu katika hospitali ya Milpark.

Dk Mvungi alijeruhiwa kwa kukatwa na mapanga kichwani siku chache zilizopita, nyumbani kwake Kibamba Msakuzi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Sunday, November 10, 2013

TOP TWENTY 10|11|2013 | ORODHA YA NYIMBO 20 REDIO KITULO NA VIDEO YA SHILOLE NAKOMAA NA JIJI




Nafasi wiki Hili
Jina la Wimbo na Msanii
20
Usinihukumu – Criss Wamarya
19
Siri ya Mchezo – Fid Q F| Juma Nature
18
Rest Of Ma Life – Hemedy PHD F| Mr Blue
17
Mungu Nipe – Dogo D F| Mo Music
16
Roar – Katy Perry
15
Touching Body – J Martins F| Dj Arafat
14
Mbalamwezi – Y Jay
13
Tupogo – Ommy Dimpoz F| J Martins
12
Weka Ngoma – Darassa F| Lameck Ditto
11
Umependeza – Rachel
10
Salamu Zao – Ney wamitego F| Neiba
09
Drive Slow – JCB F| Prof Jay
08
I Love u – Cassim Tajiri
07
Love More – Chriss Brown F| Nick Minaj
06
Basi Nenda – Mo Music
05
Mrs SuperStar – Young Killer F| Bright & Nemo
04
Number One – Diamond Platinums
03
Holy Grail – Jay Z F| Justin Timberlake
02
Slow Down – Selena Gomez
Ya Ziada
BASHASHA – BOB JUNIOR F| VANESSA MDEE
01
Roro yangu – Rich Mavoko

I:-Orodha ya Nyimbo 20 za Redio Kitulo Fm zimeandaliwa na Kusimamiwa na Ergon Elly.
II:-Kwa Maoni|Ushauri|Pendekezo Tutumie
Email:-ergonsanga@yahoo.com AU

Jumapili Njema!!!


Labels