Pages

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.

Wednesday, June 25, 2014

Rick Ross akiweka pabaya kituo cha Hot 107.5, akana kuwekewa kizuizi na kundi la maadui

https://encrypted-tbn0.gstatic.com/images?q=tbn:ANd9GcRgnbRsnGm_1nvFMWyZM8iGUXZVqzTsu1Ahwoe2pp2w2vrD7SdGyg

Rick Ross amekanusha taarifa zilozotolewa na muongozaji wa kituo cha Hot 107.5 kuwa aliwekewa kizuizi na maadui zake wakati akikaribia kuingia kwenye tamasha la Summer Jamz lililoandaliwa na kituo hicho cha radio, Jumamosi iliyopita.

Kituo hicho kiliwaambia mashabiki waliohudhuria tamasha hilo kuwa Rick Ross amewekewa kizuizi na watu na anahofia maisha yake na kwamba licha ya kumshawishi aingie Detroit alikataa na kuahirisha kuingia kwenye show hiyo.

Rapper huyo ameiambia TMZ kuwa huo ni uongo wa wazi, ukweli ni kwamba yeye alifika eneo hilo na akakuta geti limefungwa kwa hiyo hakuweza kabisa kuingia.

Amesisitiza kuwa hakuna mtu hata mmoja wa MMG au hata walinzi wake waliwahi kuzuiwa na watu wenye hasira au maadui wake.

Taarifa za kuwa alihofia uhai wake ni kama zilikuwa kichekesho kwa rapper huyo na kuuita uongo uliopitiliza.

Rick Ross aliwapa pole mashabiki wote waliohudhuria tamasha hilo kwa kupoteza masaa sita wakimsubiri bila mafanikio.

Taarifa hizi ni doa kwa HOT 107.5 hasa kwa matamasha mengine watakayoyaandaa.

Bow Wow abadili tena jina, aeleza sababu za kutolitaka jina alilonalo




 Bow Wow abadili tena jina, aeleza sababu za kutolitaka jina alilonalo
Miaka 12 baada ya kubadili jina la Lil Bow Wow kuwa Bow Wow, rapper huyo wa Marekani aliyeanza kupata umaarufu akiwa na umri mdogo ametangaza kubadili jina lake tena na sasa anataka afahamike kwa jina lake halisi.

Bow wow ametangaza uamuzi huo kupitia Instagram akidai kuwa sasa ni wakati wa kuanza ukurasa mpya katika maisha yake.

Jina la Bow Wow litadumu kwa siku tano zilizobaki lakini baada ya tuzo za BET za mwaka huu (June 29), ataanza kufahamika rasmi kama Shad Moss.

“Baada ya tuzo za BET sitatumia tena jina la Bow Wow. Nitakuwa natumia jina langu halisi ‘Shad Moss’. 

Tumeweka historia kubwa kama Bow Wow. Sasa ni muda wa ukurasa mpya na changamoto.”Amesema Bow Wow.

“Bow wow haliendani na jinsi nilivyo leo, mimi ni baba, mfanyabiashara, mtangazaji wa TV, muigizaji na rapper! Ni muda wa MR. Moss kuchukua nafasi.” Aliongeza.

Tuesday, June 10, 2014

LIL KIM AWA MAMA WA MTOTO WAKIKE (ROYAL REIGN)

 Lil Kim Ajifungua Mtoto wa Kike, ampa jina lenye hadhi ya kifalme


Hatimaye Rapper Wakike Lil Kim sasa amekuwa Mama baada ya kujifungua  mtoto wa kike na Mtoto huyo amepewa jina la Royal Reign na Baba wa mtoto huyo wa kwanza kwa Kim ni Rapper Mr. Pappers.

Lil Kim mwenye miaka 39 amejifungua jana Jumatatu (June 9) saa 3 na dakika 58 asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingtonpost.

Lil Kim aliwahi kuwa Member wa Junior MAFIA, Kwa mujibu E! Royal Reign ni Malkia mwingine kutoka kwa mwana hip hop anaeungana na dada zake toka kwa wasanii wa kongwe…Blue Ivy (Jay Z) na North West (Kanye West).
 

Picha 17 za Diamond hapa South Africa jinsi ilivyokua akirekodi kolabo na Mafikizolo June 9 2014

2
Hapa ni kwenye gari safari ya kuelekea studio ndio inaanza, Mameneja Bab Tale kushoto na Salam kulia pembeni na Diamond
Hatimae mpango wa Mafikizolo wa South Africa ambao ni mastaa wa hit single ya ‘khona’ waliochukua tuzo mbili kwenye MTV Africa music awards 2014 kufanya kolabo na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa June 9 2014.
Diamond pamoja na mameneja wake wawili ambao ni Salam na Bab Tale waliongozana mpaka kwenye studio za msanii mkongwe aitwae Oskido ili kurekodi kolabo hiyo ya Mafikizolo, kundi la Afrika kusini lililorudi kwenye chati kupitia mikono ya Oskido.
3
Ndio tunawasili kwa Oskido, mtu wako wa nguvu nilikuepo kuhakikisha kila kinachotokea kinakufikia
Kama hukusikiliza Clouds FM Top 20 Jumapili ya June 8 2014, wakati wa kufanya mazoezi ya tukio la MTV kwenye tuzo za Mama Durban South Africa June 7 2014, Mafikizolo waliomba kurekodi wimbo na Diamond baada ya kushawishika kufanya nae kolabo hivyo wakaahidi kushughulikia gharama zote za kumuongezea Diamond muda wa kuendelea kukaa South Africa pamoja na kubadili ticket ya ndege ili wakamilishe kazi yao.
4
9
Oskido ni msanii mkubwa sana na mwenye uwezo hapa South Africa na anapendwa sana ila pamoja na ukubwa wa jina lake, huwa hajiweki juu kabisa… ni mpole na simple kila wakati, nakumbuka hapa yeye ndio aliomba kupiga picha na Diamond.
8
Diamond alipoingia studio alikua bado hajapewa topic ya wimbo, yani alikua hajui wimbo unahusu nini ila dakika kadhaa baadae akaanza kushusha mistari yake… alipoingia kuingiza voco ya kwanza Mafikizolo pamoja na Producer wakampigia makofi na kusmile kuashiria kijana katishaa.
7Bado  jina la wimbo na tarehe ya kutoka havijajulikana ila kila kitu kikiwa tayari utakipata kupitia hapahapa millardayo.com
6
5
16
Mafikizolo na Diamond
15
14
Upande mwingine ambao wengi hawaujui, Diamond ni mtani na anachekesha sana, ana aina yake ya kuhadithia kitu mpaka ukacheka… ilikua goodtimes studio kiukweli
13
Hapa walikua wanacheza Theo wa Mafikizolo pamoja na Diamond.
12
11
10
21
Diamond anaipenda sana kazi yake, yani pamoja na Mafikizolo kuondoka studio baada ya kumaliza kurekodi… Diamond aliamua kubaki kuhakikisha roho yake imeridhika
20 
Ikitangaza kutoka hapa Johannesburg South Africa leo June 10 2014 kwenye AMPLIFAYA ya Clouds  FM kuanzia saa moja usiku utasikia stori za walivyokua studio pamoja na jinsi Mafikizolo walivyoanza kufahamu kuna mtu anaitwa Diamond Platnumz kutoka Tanzania East Africa.
CHANZO:-MILLARD AYO

Friday, June 06, 2014

NEW VIDEO | AMMY CHIBA - SUBIRA YA MOYO




Msanii wakike aliyebarikiwa sauti kutoka The G City “Mbeya” aliyewahi kuwa Mshiriki wa Epic Bongo Starsearch 2013 nakuwa Tano Bora Amina Chibaba a.k.a Ammy Chiba yupo Hatua ya Mwisho ya kuachia Wimbo wake wa kwanza tangu kurudi katika Shindano Hilo la EBSS.

Kupitia Account yake ya Facebook @Ammy Chiba amepost Cover ya Ujio wake Mpya Na kuandika hivi.

 ''Mambo vp watu wangu naomba mkae tayari kuipokea vidio yangu ya...SUBIRA YA MOYO..itakujia mda si mrefu naitaji mnisapoti ili niukuze mziki wangu naamini tuko pm1''

SUBIRA YA MOYO Ni Comeback yake na anatarajia kuiachia Rasmi Tarehe 15|06|2014 katika Mfumo wa Video….Kwa Mjibu wa Director wa Video Hiyo Tarehe 08|06|2014 Kionjo cha Video Hiyo kitaachiwa.
 

PICHA:-DIAMOND AKIENDESHWA NA DEMU WA KIZUNGU WA MTV AFRIKA KUSINI TAYARI KWA TUZO ZA MTV MAMA

Wakati Diamond Platnumz akiwa Afrika Kusini Tayari kabisa  kwa tuzo za MTV MAMA Awards hapo kesho , hii leo wamepewa ka-suprise kidogo baada ya mtasha wa kizungu kukamatia gari na kuwazungusha mitaa ya Afrika Kusini.
Diamond-Platnumz-na-Babutale-vibe-co-tz
Pia babutale amefunguka hivi kuhusiano na dereva huyo kupitia ukurasa wake wa instagram, “Dereva wa leo mh MTV wamenikosha baba T..”Picha hapo chini ni babutale,meneja wa Diamond akiwa na dereva huyo….
Diamond-Platnumz-Babutale-Dereva

Thursday, June 05, 2014

T.I azungumza Kiswahili Wakati akijibu kuhusu ugomvi wake na Floyd Mayweather Jr




http://img1.wikia.nocookie.net/__cb20130902112547/ladygaga/images/b/bb/Ti.jpg
Wiki kadhaa zilizopita ugomvi kati ya T.I na bondia Floyd Mayweather ulikuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii.

MayWeather Jr alizungumza katika interiview moja na kuwaomba msamaha mke na watoto wa T.I, lakini T.I alielezea zaidi uvumi kuwa aliumizwa jichoni na kisha kupost picha kuthibitisha.

Wiki hii rapper huyo alinaswa Na TMZ akitembea barabarani na kuhojiwa kuhusu ugomvi kati yake na Mayweather ambapo alikataa kabisa kuzungumzia kilichotokea kati yao.

Baada ya kuendelea kusongwa na muuliza maswali, T.I aliweka msisitizo wa maelezo yake kwa kuongea Kiswahili kueleza kuwa hakuna tatizo kwa upande wake.

“Everything is wonderful men ‘Hakuna Matata’ that means everything is wonderful for the rest of your days.”

Neno Hakuna Matata ni sehemu ya maneno ya Kiswahili yaliyosambaa zaidi duniani.

Labels