Ujumbe huo kuhusu video hiyo iliyomuweka Nisher hapa Bongo zaidi ya wiki, ulitoka katika uongozi wa BHitz music Group kupitia ukurasa wao wa Twitter ikiandikwa, "Press Play Video Official Release 31.1.13" yaani mwisho wa mwezi huu wa kwanza wa mwaka....
Track hiyo inayoshirikisha wasanii wakali kutoka BHitz, kama Deddy, M-Rap, Vanessa Mdee, Mabeste na Gosby inataraji kudosha kichupa hicho tarehe hiyo... Tusubiri tuone.
0 maoni:
Post a Comment