Pages

Friday, February 08, 2013

HEMEDY SULEIMAN a.k.a PHD:-MKUBWA WA FREEMASON ANANISHAWISHI NIJIUNGE UANACHAMA


Kupitia ukurasa wake wa Facebook muimbaji wa R&B na muigizaji wa filamu nchini Hemedy Suleiman aka PHD (Pretty Huge Dude) amesema mkubwa wa Freemason (hajamtaja jina) amekuwa akimshawishi ajiunge na chama hicho.

“Mkubwa wa freemason ananishawishi nijiunge katka chama hicho ila nimemuombea dua Mungu amlani ishallah“na hakika mwenye kujiunga na chama hicho mwisho wake ni kufa napia huenda motoni,” alisema Hemed.


0 maoni:

Post a Comment

Labels