Pages

Friday, February 08, 2013

[COOMIN' SOON TRACK] - LEO BY DAYNA FTN MR BLUE


Msanii maarufu wa kizazi kipya kutoka Mji kasoro maji ya bluu Moro Town na aliyewahi kufanya poa na kazi zake za muziki kama vile Mafungu Ya Nyanya, Nivute Kwako na Unataka nini si mwingine ni Dayna Nyange a.k.a MKALI WAO sasa yuko kwenye hatua ya mwisho ya kuachia track yake nyingine mpya ambayo inakwenda kwa jina la ''LEO''.

Leo ni track mpya ambayo amempa shavu Mr. Blue a.k.a Kabyser, star wa muziki huu wa Bongo Flava anaefanya vizuri pia katika tasnia hii ya muziki.

Fans wa Dayna kaeni tayari kwa ujio mpya kutoka kwa msanii huyo.

0 maoni:

Post a Comment

Labels