Pages

Thursday, July 26, 2012

Godzilla auponda mfumo wa elimu Tanzania



Rapper mwenye swagga za 50 Cent, Godzilla ameukosoa mfumo wa elimu uliopo nchini ambao anadai hautengenezi wataalam. Kupitia mtandao wa Facebook, Godzilla ameandika:

Mfumo wa Elimu Tanzania inabidi ubadilishwe. Elimu ndefu sana na haiko katika kutengeneza wataalam(Experts).

Mfano mtu kasoma hadi darasa la 7 akafeli na mtu aliyesoma hadi Form6 akafeli wote wanakuwa sawa coz hawaajiliwi #so miaka yote imepotea bure.

Zamani kulikuwa hadi na la 4 la mkoloni wazee wakifika la 4 wanamaliza sa hivi aje wazee?!

Fanyeni mfumo mzuri wa Elimu ili tuwe na wasomi wengi.

Mawazo mazuri Godzilla.

0 maoni:

Post a Comment

Labels