Pages

Tuesday, November 12, 2013

BREAKING NEWS:-MJUMBE WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA DK SENGONDO MVUNGI AFARIKI DUNIA

Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi amefariki dunia nchini Afrika Kusini ambako alipelekwa kupatiwa matibabu katika hospitali ya Milpark.

Dk Mvungi alijeruhiwa kwa kukatwa na mapanga kichwani siku chache zilizopita, nyumbani kwake Kibamba Msakuzi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

0 maoni:

Post a Comment

Labels