Pages

Tuesday, December 18, 2012

VITU 10 KUHUSU SHILOLE AMBAYE ANASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA


Msanii wa Bongo Movie na Bongofleva Shilole aka mtoto mzuri leo anasherehekea siku yake kuzaliwa.
 
Ikiwa leo ni siku yake muhimu kwake si vibaya ukafahamu baadhi ya vitu kuhusu yeye.
1.Shilole ametimiza miaka 25 hii inamaana alizaliwa tarehe 18 mwezi 12 mwaka 1987.
 2.Shilole na watoto wawili alipata mtoto wake wa kwanza akiwa na miaka 16
3.Mpaka sasa Shilole ashacheza movie/filamu 17

4.Shilole ana nyimbo 4, ngoma ya kwanza 'Lawama', ya pili 'Dume Dada', ya tatu 'Viuno' na ya nne ni 'Dudu'

5.Shilole anasema kuwa msanii aliyemvutia yeye kuimba ni Ray C

6.Shilole anamiliki maduka mawili ya nguo na pia na mpango wa kufungua Cafe hivi karibuni

7.Shilole alishawahi kubakwa akiwa mdogo na ndo hapo alipopata mimba nakumlazimu kuacha Shule.

8.Shilole alizaliwa Tabora nakukulia huko baadae ndo akaja Dar es salaam

9.Shilole hivi sasa analipwa shilingi milioni 2 kwenye shoo

10.Rangi anayoipenda ni  Pink.

HAPPY B'DAY. 

0 maoni:

Post a Comment

Labels