Pages

Sunday, May 06, 2012

Wanamuziki wa Kenya kufanya maandamano ya amani



Wanamuziki wa Kenya kesho May 6 watashiriki katika maandamano ya amani katikati ya jiji la Nairobi.

Wasanii hao kwa pamoja wakijiita Kenya One, wataungana kusisitiza amani na mshikamano nchini humo katika kuelekea kipindi cha uchaguzi.

Wataungwa mkono na watu wazito akiwemo mwenyekiti mtendaji wa Safaricom Bob Collymore na Jimnah Mbaru na Chris Kirubi.


Bob Collymore


"Tutatembea kutoka KICC na kuzunguka mitaa yote mikubwa. Tunawaomba wakenya wenzetu kuangana nasi katika jambo hili” alisema mwanadada  Size Eight.





Size 8

0 maoni:

Post a Comment

Labels