This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Thursday, June 20, 2013
TUZO ZA WANASOKA BORA TANZANIA BARA
Tuesday, June 18, 2013
KAULI YA RAIS KIKWETE KUHUSU SHAMBULIO LA MLIPUKO WA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI NA MAJERUHI KADHAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa taarifa za shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mjini Arusha jioni ya leo, Jumamosi, Juni 15, 2013, tukio ambalo limesababisha vifo vya watu wawili na majeruhi ya Watanzania kadhaa.
Aidha, Rais Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa jamaa na ndugu wa wafiwa wote na pia ametuma pole nyingi kwa majeruhi ambao wameumizwa na kujeruhiwa katika tukio hilo ovu na katili.
Vile vile, Rais Kikwete amewatumia salamu za pole viongozi wa CHADEMA kufuatia tukio hilo la woga mkubwa na pia kuviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua stahiki za kuchunguza kwa haraka, kubaini, kuwakamata na kuwafikisha mbele ya sheria wote waliohusika na tukio hilo, wawe watu wa ndani ya nchi ama nje ya nchi.
Katika salamu zake za rambirambi na za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Magesa Mulongo, Rais Kikwete amesema: “Nimepokea kwa mfadhaiko, mshituko na huzuni kubwa shambulio la mlipuko lililotokea katika mkutano wa CHADEMA mjini Arusha jioni ya leo, tukio ambalo limesababisha vifo na majeruhi ya Watanzania wenzetu.”
Amesema Rais Kikwete: “Nakutumia wewe Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Magesa Mulongo salamu zangu za rambirambi kufuatia vifo na pole nyingi kutokana na majeruhi katika tukio hilo na naomba kupitia kwako unifikishie salamu zangu za rambirambi kwa jamaa na ndugu wa wafiwa na pole nyingi sana kwa majeruhi.”
“Kadhalika naomba unifikishie salamu zangu za pole kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA kutokana na tukio hilo. Naomba uwajulishe kuwa uchungu wao ni uchungu wetu sote na msiba wao ni msiba wetu pia. Nataka wajue kuwa tupo pamoja nao katika kipindi hiki kigumu na cha majonzi na huzuni mkubwa,” amesema Mheshimiwa Rais Kikwete.
Rais Kikwete amemwambia Mkuu wa Mkoa wa Arusha: “Kadhalika, nimeviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za haraka kuwasaka wahusika, kuwakamata na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria. Aidha, nawataka viongozi wa Serikali ngazi ya kitaifa, Mkoa wa Arusha na Wilaya ya Arusha mjini kuhakikisha kuwa majeruhi wote wanapata matibabu ya haraka na huduma za tibabu stahiki.”
Aidha, Rais Kikwete ametoa wito maalum kwa wananchi akisema: “Kwa wananchi wenzangu, Watanzania wenzangu, napenda kutoa wito wa kuviachia vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi yao vizuri ili tuweze kuwabaini waovu waliofanya kitendo hiki.”
“ Natambua kuwa yatakuwepo maneno mengi na hisia mbali mbali zitakazojaribu kulielezea tukio hilio ovu na katili kwa njia mbali mbali. Nawasihi tujiepushe na kuchukua dhana na hisia zetu au maneno ya watu wengine kuwa ni ukweli wa tukio hili. Tujipe nafasi ya kutafakari vizuri na kufanya uamuzi ulio bora.”
Ameongeza Rais Kikwete: “Mimi siamini kuwa Watanzania au wafuasi wa vyama vya siasa wanachukiana kiasi cha kufanyiana matendo ya unyama wa aina hii. Naamini kuwa hiki ni kitendo cha mtu ama watu wasioitakia mema nchi yetu, watu ambao wanatafuta kila sababu ya kupandikiza chuki miongoni mwa raia ama makundi ya raia, ili nchi yetu iingie kwenye machafuko makubwa.”
“Ndugu zangu, Watanzania wenzangu, naomba tuzinduke, ili tusiwape nafasi watu hawa waovu ya kuweza kutimiza malengo yao ya kuvuruga amani na utulivu wa nchi yetu kwa kuleta mifarakano baina yetu. Mungu Ibariki Tanzania, Munfu Ibariki Afrika.”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
IKULU,
DAR ES SALAAM
Monday, June 17, 2013
Rapper Jay Z Ametangaza Ujio Wa Album Yake Mpya Na Jinsi Ya Kuipata Kirahisi
Wakati wa game 5 ya NBA Finals walirusha clip inayo muonyesha Jay z akiwa na Rick Rubin, Pharrel Williams,Swizz Beats Na Timbaland wakitengeneza mzigo mwingine.
BAADA YA KUDAI SHOW YA MWANA FA IMEBUMA WADAI ILIKUWA INAHITAJI WATU 400 TU:HIZI HAPA PICHA 40 ZA SHOW YA MWANA FA
![]() |
![]() |
| King Zilla kutoka Salasala alikuepo. |
![]() |
| Watu wakipata chakula na vinywaji kabla ya kuingia kwenye show |
![]() |
| Meneja wa Ommy Dimpoz, Muba, Salama na Ommy Dimpoz. |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
Friday, June 14, 2013
TAARIFA ILIYOLEWA NA BABA MDOGO WA MAREHEMU LANGA KUHUSU SABABU YA KIFO CHA LANGA NA TARATIBU ZA MAZISHI
DOGO JANJA AKAMATWA NA BANGI NA KUPELEKWA CENTRAL JIJINI ARUSHA
OMMY DIMPOZ AFUNGUKA ATOA SABABU YA GLOBAL PUBLISHERS KUMCHAFUA,ZISOME SABABU HIZO HAPA
ANASEMA KUWA ALIPIGIWA SIMU YA KIBIASHARA KWA AJILI YA KUFANYA SHOW NA GLOBAL PUBLISHERS KWA SABABU HAWAKUAFIKIANA KWENYE MALIPO NDO WAMEAMUA KUMCHAFUA. TAZAMA PICHA YA KILICHOANDIKWA NA GLOBAL PBLISHERS HAPA
TOP 10 | LIST YA NYIMBO KUMI BORA ZA WIKI KATIKA FRIDAY BANG YA KITULO FM
09:-Jipe Shavu - Ay F| Fid Q
08:-Attention - M Rap F| Deddy
07:-Usiku wa Leo - Becka Title F| Mirror & Blue
06:-Dini Tumeletewa - Afande Sele F| Belle 9
05:-Love me - Izzo B F| barnaba & Shaa
04:-Jitunze - Mr R.E.D
03:-Furaha ya Leo - Dream
02:-Wanipa wazimu - Lawize Entertainer F| Ney Lee
01:-Masebene - Y - Tony
Thursday, June 13, 2013
MUHIMBILI YAZUNGUMZIA KIFO CHA LANGA
MAJONZI TENA, MSANII LANGA AAGA DUNIA LEO HII
Labels
- Album (4)
- Annapita (1)
- BET (1)
- C.E.O ELLY BLOG (13)
- Criss wamarya (1)
- Dj Choka (4)
- Dj Nundu (33)
- EATv (4)
- EDDY BLOG (4)
- eddy mo blaze (5)
- ELLY BLOG (565)
- Ergon ELLY (33)
- Ergon sanga (46)
- ergonelly (780)
- GQ TownDad GQ (1)
- Habari (245)
- Interview (19)
- Juacali (1)
- Kitulo Fm (17)
- KTMA 2013 (13)
- Lyrics (8)
- Maua Sama (1)
- Mr R.E.D (1)
- New Hit (73)
- Picha (160)
- Pro-24 (1)
- Redio Kitulo Fm (126)
- Top 10 (15)
- Top 20 (18)
- Video (19)
- Y-Jay (1)


























































