Saturday, April 21, 2012
Wapendwa....Je ni halali kwa huyu mbunge wetu Halima Mdee kuchangisha pesa kwaajili ya kumsaidia 'LULU na familia yake?Je ni watu wangapi wapo gerezani kwa kuonewa na wengine wana hali duni katika jamii zetu lakini hawana misaada?LULU ni kama nan?kwanini asiiache Sheria ikachukua mkondo wake?
0 maoni:
Post a Comment