This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Friday, February 08, 2013
Rapper kutoka Compton, Marekani maarufu kama The Game ambae anafanya vizuri kwenye game ya muziki wa Hip Hop na kutamba na baadhi ya ngoma zake kadhaa ameongeza Tattoo kwenye mwili wake.
TOP TEN ZA REDIO KITULO FM IJUMAA HII [08 FEBRUARI 2013]
FEZA KESSY KUTOKA UNITY ENTERTAINMENT KUTOA TRACK YAKE YA AMANI YA MOYO TAREHE 11.02.2013 SIKU YA JUMATATU

Thursday, February 07, 2013
PICHA DIAMOND AKIPIGA SHOW YA UFUNGUZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIGOMA...!!
TID "Mnyama" amekuwa ni miongoni mwa ma-star wa Bongo aliyejichukulia form za kujiunga na shindano kubwa kabisa Africa, Big Brother Africa.
Wednesday, February 06, 2013
Rapper kutoka Amerika maarufu kama Gucci Mane sasa yuko mbioni kuachia mixtape
Arobaini ya marehemu Sajuki itafanyika siku ya Jumamosi ya Tarehe 9/2/2013
SKILIZA ALICHOSEMA WAZIRI WA ULINZI KUHUSU WASANII WANAO VAA SARE ZA JESHI KWENYE KAZI ZAO.
JINSI YA KUNUNUA WIMBO
1. Tuma kiasi cha fedha ambacho kimependekezwa kama bei ya wimbo huo kwa njia ya M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money
2. Jaza Fomu hapo chini, sehemu ya Message kwenye code andika code ambazo ukishatuma pesa kuna sms ambayo itarudi inayothibitisha kwamba fedha imefika.
3. Submit fomu hiyo
4. Subiri kwa dakika chache kisha utapokea nyimbo kupitia email yako ambayo umeijaza hapo, hapo utakuwa tayari umefanikisha, download na furahia kusikiliza Muziki.
Support wasanii wa Tanzania kwa kununua kazi zao kihalali
NEW TRACK: LINAH TOP 10 (WANAMWITA)
Namba ya malipo - 0765 073 073
KAMA ULIMIS KUZIONA NYIMBO KUMI KALI ZA WIKI ZA REDIO KITULO FM 01 FEBRUARI 2013
Tuesday, February 05, 2013
[AUDIO] Brand New: Kigoma All Star - Nyumbani
[EXCLUSIVE AUDIO] Chege ft. Malaika - Uswazi Take Away
Rapper kutoka New Orleans, Lil Wayne a.k.a ''Tunechi'' weekend hii alionekana kuwa na hasira baada ya kuguswa na mara kadhaa kuvutwa na mpiga picha wa mwandishi wa habari kitendo kilichoomuudhi sana rapper huyo.
COVER LA ALBUM MPYA YA LIL WAYNE`I AM NOT A HUMAN BEING II' NDIO HILI .
Ni ngoma mpya kabisa kutoka kwa Nikki Mbishi "Play Boy" na Godzilla "SalaSala" ikimshirikisha Cliff Mitindo.
inayofanywa kwa pamoja na rapper
PREZZO CMB KUFUNGA NDOA NA GOLDIE FEBRUARY 9
Monday, February 04, 2013
[PICHA]:-KITALE TEJAH AKIWA NA JIKO LAKE Bi Fatma Salum.
PICHA:KITALE AVUTA JIKO RASMI UKAPERA BASI
Ndoa hiyo ilifungwa majira ya Saa nane mchana maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
MGANGA WA DIAMOND AJITOKEZA

Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum maeneo ya Magomeni, Dar, mganga huyo alidai kuwa pamoja na jitihada kubwa alizofanya kumpaisha Diamond lakini anamshangaa kwa kuwa amesahau alikotoka na anajifanya supastaa.
Alidai kuwa siku hizi akimpigia simu, Diamond huwa hapokei, tofauti na zamani alipokuwa akihangaika kuchomoka kisanii.
Mganga huyo alifunguka kuwa sababu ya kufanya hivyo ni baada ya kuchukuliwa na watu waliompeleka kwa waganga wa Kigoma ambako anajidanganya kuwa ndiyo wanampaisha kumbe walimchukua akiwa ameshampandisha kwa kumpa dawa kali za mvuto.
ALIMPA DAWA GANI?
Alizitaja dawa alizompatia Diamond kuwa ni mitishamba aina ya Dubi, Ntajamasala (hii humfanya watu wamuogope na kumheshimu), Italigula, Nkangacharo na Kalila Lila (ambayo huichoma na kuoga kwa ajili ya kuwavutia watu).
ANGUKO LA DIAMOND
Alidai kuwa Diamond amejisahau na hajui kama anguko lake linakuja kufuatia ahadi aliyoiweka wakati anaanza kuimba baada ya kumpatia dawa hivyo atapotea kwenye muziki.
Akielezea historia ya kukutana kwao, Ustadhi Yahya alisema yeye na staa huyo walikutana miaka ya 2000 nyumbani kwa Papaa Misifa ambaye alikuwa meneja wa Diamond.
Alidai kuwa kubadilika kwa Diamond kulikuja baada ya kutwaa tuzo tatu za Kili mwaka 2010 ndipo akawa anahusudu wanawake tofauti na masharti ya dawa japokuwa alimkanya lakini hakumsikia.
DIAMOND ANASEMAJE?
Kama ilivyo desturi ya gazeti hili, lilimgeukia Diamond ili kupata mzani wa habari hiyo ambapo alipopatikana kwa njia ya simu alisomewa maelezo yake yote.
AMKANA
Katika maelezo yake, Diamond alikataa kata kata kuwa hamfahamu mtu huyo kisha akakata simu.
“Sina msikiti nitakuwaje na Ustadhi? Huyo mganga nasema simfahamu,” alisema kisha akakata simu.
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Wa GPL
Labels
- Album (4)
- Annapita (1)
- BET (1)
- C.E.O ELLY BLOG (13)
- Criss wamarya (1)
- Dj Choka (4)
- Dj Nundu (33)
- EATv (4)
- EDDY BLOG (4)
- eddy mo blaze (5)
- ELLY BLOG (565)
- Ergon ELLY (33)
- Ergon sanga (46)
- ergonelly (780)
- GQ TownDad GQ (1)
- Habari (245)
- Interview (19)
- Juacali (1)
- Kitulo Fm (17)
- KTMA 2013 (13)
- Lyrics (8)
- Maua Sama (1)
- Mr R.E.D (1)
- New Hit (73)
- Picha (160)
- Pro-24 (1)
- Redio Kitulo Fm (126)
- Top 10 (15)
- Top 20 (18)
- Video (19)
- Y-Jay (1)




























