Pages

Wednesday, February 06, 2013

SKILIZA ALICHOSEMA WAZIRI WA ULINZI KUHUSU WASANII WANAO VAA SARE ZA JESHI KWENYE KAZI ZAO.

Mara Nyingi tunaona wasanii wakiwa na Sare za jeshi kwenye kazi zao tofauti hapa Tanzania.
 
Mfano Kwenye nmajukwa ya matamasha tofauti na kwenye Video zao hayo yamesemwa mapema   Leo Bungeni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mh.Shamsi Vuai Nahodha Alisema Ni Marufuku Kwa Wasanii Tanzania Kuvaa Sare zinazo fanana na sare za Jeshi Kwenye Kazi Zao Na kwa sasa serikali inawasaka watu wanaofanya vitendo hivyo, Wakikamatwa watachukuliwa hatua za Kisheria .
Mskilize Hapa

0 maoni:

Post a Comment

Labels