This is default featured slide 1 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 2 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 3 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 4 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
This is default featured slide 5 title
Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.This theme is Bloggerized by Lasantha Bandara - Premiumbloggertemplates.com.
Wednesday, May 07, 2014
Nikki wa Pili: Weusi ni Kundi bora zaidi la hip hop Afrika Mashariki
KEISHA AJIFUNGUA MTOTO WAPILI….”NI WA KIUME”


PROF JAY NA DK JOSE CHAMELEON WAJA NA NGOMA MPYA
Joseph Haule a.k.a Profesa Jay anayefanya poa na kazi yake mpya ya kipi sijasikia aliyomshirikisha Diamond sasaameingia studio tena na Jose Chameleone kutengeneza nu joint nyingine.
Ray C Hoi Kitandani, Adaiwa Kuugua Ugonjwa Mpya...."DENGE"
Inasemekana Baada ya kutoa tuzo ya Kill Siku ya Jumamosi Kesho yake alianza kuumwa Kichwa na Baadae alipelekwa Hospitalini Mwananyamala Akidhani ana Malaria, Alipopimwa ikagundulika unaumwa huo ugonjwa wa Denge.
Ugonjwa huo inasemekana unaambikizwa kwa kung'atwa na Mbu
Get Well Soon
Credit:Udakuspecially.
Friday, April 18, 2014
(New Audio) Ezdee ft. Mau & Mabov – BORN TODAY
Song: BORN TODAY
Producer: Bunduki AK47
Kaju (Gofu Rec
MASAI NYOTAMBOFU AITEMA KAMPUNI YA AL-RIYAMY.
Akizungumza na babamzazi.com leo, Masai Nyotambofu alisema kuwa ameamua kuachana na kampuni hio baada kugundua kuwa kuendelea kuwepo pale kwa muda mrefu ni sawasawa na kuididimiza sanaa yake kwani hamna mafanikio yeyote zaidi ya kuahidiwa kwamba baada ya kipindi fulani mambo yatakuwa mazuri huku siku zinazidi kwenda,
HUYU NDIYE MTANZANIA NA MWANAMITINDO WA KWANZA AKAUNTI YAKE YA FACEBOOK KUWA VERIFIED NA KUWA OFFICIAL.
Kampuni ya Tigo Tanzania ilikuwa ndiyo ya kwanza kuwa Verified katika mtandao wa kijamii wa facebook, Twitter msanii wa kwanza kukubaliwa na kuwa verified ni Ay.
MARTINE KADINDA AMUITA LULU MICHAEL NYAU.

Mwanamitindo maarufu Bongo, Martin Kadinda amempongeza Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwa kumuita nyau.
Martin alifanya ishu hiyo wakati akimtakia Lulu Happy Birthday Aprili 16 ambapo mwanadada huyo alikuwa akitimiza umri wa miaka 19. Mwandishi wetu alipomhoji kuhusiana na kumuita nyau, Martin alifunguka:
“Yule kwangu ni mdogo, nimemlea tangu akiwa
anasoma sekondari pale Perfect Vision Ubungo, nimetumia neno nyau kama utani lakini nikimaanisha mdogo kwangu.”
Mrisho Mpoto aelezea sababu kutovaa viatu kwenye matembezi binafsi na ata akiwa safari za Kimataifa

Mpoto akiwa na gari ambalo alikataa kuzungumzi chochote
Mpoto ameiambia bongo5 kuwa amesemwa sana kuhusu tabia ya kuto vaa viatu lakini ameshindwa kubadilika.
“Beauty yoyote ipo kwenye jicho,unapozungumzi Mrisho Mpoto kuwa peku ,sehemu nyingi sana,mara nyingi sana watu wananiona peku, ni kwa sababu ya kutafuta energy ,unajua energy ya mimi kuendelea kuishi inapatikana
kwenye udongo,yani ngozi yangu inapokutana na ardhi nakuwa so (confident) na nakuwa Mpoto, zaidi na nguvu na nakuwa na akili ,sasa sipendi wakati mwingine kuwa fake,najitaidi sana kuwa wakisasa ila nakuwa nasahau,kwamfano naweza nikanunu kiatu cha gharama alafu nikakisahau kwenye ndege au kwenye basi kwasababu siyo kawaida yangu kuvaa viatu, nisha jaribu lakini nimeshapoteza vingi,kwasababu siyo culture yangu kuvaa viatu ,viatu navaaga kwasababu watu wananisema.
kwaiyo nikivaa ninakuwa kama inanisumbua, nikaona kama bora niache,alafu nakuwa siko huru,ukinikuta nimevaa viatu alafu tukaanza kufanya mazungumzo nakuwa siko huru kwasababu nakuwa nipo kama naelea hewani,yani kama sina chaji,kwaiyo kwangu mimi ardhi ni kama plug ya
mwili wangu,nikikanyaga chini wewe niulize chochote nitakujibu niambie niandike shairi la haina yoyote,mimi ata nikiandika nyumbani kwangu lazima niweke miguu kwenye mchanga,ata nyumbani kwangu hakuna mchanga mimi ninabeseni kabisa la michanga,kwajili tu yakukanyaga yani
nikiandika nakuwa confidant ata nikiandika nakuwa na amani”Alisema Mpoto Mpoto akiwa uwanja wa ndege Dar es salaam akirejea toka Dubai

Pia Mrisho ataendelea kufafanua kwanini ataki kubadilika na kuchana na tamaduni ya kutembea mbila kuvaa viatu
“Nataka maisha yasiniendeshe mimi,mimi niyaendeshe maisha, kwasababu unajua speed ya utandawazi yani globalization ni kubwa sana kuliko speed ya mwanadamu kwa Tanzania,ukiangalia watu kama Marekani wamepata uhuru miaka mia mbili iliyopita,sisi tuna miaka mingapi tu ya uhuru na teknologia inakuja kwa kasi sana,ndiyo maana technologia inapokuta Tanzania watu wanaimasta sana,kwamfano facebook,instargam,twetter,whatsapp na mitandao mingine vimekuja kwa kasi sana na watu vimewabadilisha sana,ata Ngugi wa Thiong’o alisema
huwezi kwenda kwa jirani kama ujatokea kwako,mtu kaka mimi ninapoigia kwenye technologia siwezi badilishwa kwasababu nimeshajijua mimi ni nani”Alimalizia Mpoto
MADAKTARI WASHINDWA KUUNGANISHA UUME WA MWANAMUZIKI ALIYE JIKATA MAKUSUDI.
Mtandao wa TMZ uliandika kuwa Johnson aka Christ Bearer aliukata uume wake jana Jumatano na kujirusha kwenye nyumba ya ghorofa mbili anakoishi huko North Hollywood kwa kile kinachodaiwa kutaka kujiua.
Johnson/Christ Bearer ni member wa kundi liitwalo Northstar, lilioanzishwa na rapper Wu-Tang Clan, RZA.
SHAKIRA ANA NDOTO ZA KUWA FISRT LADY WA TIMU YA BARCELONA
Shakira anaamini kuwa siku moja Gerard Pique atakuwa rais wa Barcelona na hiyo itampa yeye nafasi ya kuwa first lady wa timu hiyo.
“Nafikiri siku moja Gerard atakuwa rais wa Barcelona na mimi nitakuwa ‘first lady’ wa Barca.” Shakira ameeiambia jarida la Bocas.
Kauli ya Shakira inaonesha kumuunga mkono mpenzi wake ambaye aliviambia vyombo vya habari vya Hispania kuwa huenda siku moja atakuwa rais wa Barcelona, “nani anajua, huenda siku moja ntakuwa rais wa FC Barcelona.”
Shakira na Gerard wako katika uhusiano wao kwa miaka minne na wamebarikiwa kupata mtoto wa kiume aitwae Milan
IYANYA KULIPWA $4000 NA SUTI MPYA ILI AWEZE KUONEKANA KWENYE VIDEO YA HABIDA.
Habida amedai kuwa uongozi wa Iyanya umedai ulipwe $4000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 6.5 ili kuonekana kwenye video hiyo.
Pia walitaka Habida amnunulie Iyanya suti mpya ya kuvaa kwenye video hiyo.
Kama hiyo haitoshi, walitaka msanii wa mitindo binafsi na ukijumlisha vyote hivyo zaidi ya shilingi milioni 9 ilikuwa inahitajika.
“Sina uhakika kama Iyanya alikuwa anajua kinachoendelea. Sikuweza kutimiza matakwa hayo kwa muda huo na nimeamua kuutoa wimbo huo mapema,”
Habida aliiambia Heads Up ya Kenya.
Ray C Foundation yaandaa kipindi cha TV ‘Pamoja Inawezekana’ kitaelimisha jamii juu ya madawa ya kulevya
Ray C kupitia instagram yake amesema:Preparing my TV programme Pamoja Inawezekana,Ray C foundation inawaletea kipindi cha pamoja
inawezekana,stay tuned people more to come.
Kipindi maalum cha ‘Pamoja Inawezekana’ kitakujia hivi karibuni,makubwa mengi yatakuja kupitia Taasisi yetu,kwa walio mikoani tupigie 0658009715 au barua pepe raycfoundation2014@gmail.com,itakuwa na mambo mbalimbali yanayohusu matatizo au athari za madawa ya kulevya,tutawatangazia hivi
karibuni.
Labels
- Album (4)
- Annapita (1)
- BET (1)
- C.E.O ELLY BLOG (13)
- Criss wamarya (1)
- Dj Choka (4)
- Dj Nundu (33)
- EATv (4)
- EDDY BLOG (4)
- eddy mo blaze (5)
- ELLY BLOG (565)
- Ergon ELLY (33)
- Ergon sanga (46)
- ergonelly (780)
- GQ TownDad GQ (1)
- Habari (245)
- Interview (19)
- Juacali (1)
- Kitulo Fm (17)
- KTMA 2013 (13)
- Lyrics (8)
- Maua Sama (1)
- Mr R.E.D (1)
- New Hit (73)
- Picha (160)
- Pro-24 (1)
- Redio Kitulo Fm (126)
- Top 10 (15)
- Top 20 (18)
- Video (19)
- Y-Jay (1)




















