Pages

Wednesday, May 07, 2014

Ray C Hoi Kitandani, Adaiwa Kuugua Ugonjwa Mpya...."DENGE"

Nimepata Habari kuwa Mwanamuziki Ray C yupo hoi Kitandani Akiugua Ugonjwa Mpya Unaojulikana kama Homa ya Denge...

Inasemekana Baada ya kutoa tuzo ya Kill  Siku ya Jumamosi Kesho yake alianza kuumwa Kichwa na Baadae alipelekwa Hospitalini Mwananyamala Akidhani ana Malaria, Alipopimwa ikagundulika unaumwa huo ugonjwa wa Denge.

Ugonjwa huo inasemekana unaambikizwa kwa kung'atwa na Mbu
Get Well Soon

Credit:Udakuspecially.

0 maoni:

Post a Comment

Labels