Pages

Tuesday, August 21, 2012

DIAMOND AOMBA RADHI KWA BROKEN ENGLISH ILIYOTUMIKA KATIKA WEBSITE YAKE




Diamond ameamua kutokaa kimya kufuatia kosa lililofanyika kwenye website yake na kuomba radhi kupitia Facebook.

“So sorry guys dat wasnt my fault at all... ni matatizo yametokea tu kibinaadam toka kwa mtu anae control my ..”

Kosa hilo lilitokana na kichwa cha habari kilichoandikwa kwa Kiingereza broken kisemacho:

"If you does`t watching "Mkasi Show" on EATV click here to view"

Haya ni miongoni mwa maoni baada ya Diamond kuomba radhi:

James Real Jamy: Wory nt brooh we du understand dat! Coz english isn't our native language kk!

David Maina: sema kiingereza kigumu. wacha feeble excuses man

David Maina: yah i do understand but not on a public website which will obviously offend if not reach many.

Boby Cascaso: i noticed it immediately whn you typd bt i ddnt knw how 2 inform you,any way eng c lugha ye2 we r jst lrng it.

Sammy Rays: its alright bro our language is swahili , english is 4 foreigners

David Maina: nop aint gonna take it, there should be thorough editing as long as public communications are concerned. so the handler of the website aint compitent.

Joyce Charles: no one z perfct.. Trust..mi& take t easy... One love
David Maina: i think you pple u're not getting it. This is a mass public matter and the handler had the utter obligation to ensure sanity in his website. Any excuses is proof to how many so called professionals mishandle "public assets"

0 maoni:

Post a Comment

Labels