Pages

Tuesday, August 28, 2012

THE MAKING OF PAIN KILLER by C-SIR MADINI


C-sir Madini amemaliza kushot kichupa cha wimbo wake mpya ambao unatarajiwa kutoka mwezi ujao unaoitwa PAIN KILLER. 

Audio ya wimbo huo imetengenezwa na Kid bwoy wa Tetemesha Recordz, na video imetengenezwa na Adam Juma wa Next Level, na katika video hiyo C-sir amevalishwa na Kidoti Fashion ya Jokate. 

Fans kaeni tayari kwa ujio huu mpya wa C-sir Madini.

0 maoni:

Post a Comment

Labels