Pages

Wednesday, August 15, 2012

JCB ndani ya Star TV Cribs!!!




Crew ya kituo cha runinga cha Star TV leo kinamtembelea rapper wa Arusha JCB Makalla na kufanya version ya superstar Cribs kama ilivyo kwenye MTV Cribs! So hii tuipe jina la Star TV Cribs sio!

‘Leo hii STAR TV wananitembelea hapa home kwangu kufanya kipindi kama mtv crib..nita watag mapicha hamna noma..,” ameandika mtengwa huyo kupitia Facebook.

Tunaamini hilo litakuwa bonge la show!

Habari na leotainment.blog

0 maoni:

Post a Comment

Labels