Pages

Friday, August 31, 2012

MWANAUME NA MWANAMKE WAFUPI DUNIANI WAKUTANA





Kwa mara ya kwanza katika historia, Mwanaume mfupi na mwanamke mfupi duniani wamekutana, Mwanaume mfupi anayeitwa Chandra Bahadur Dangi mwenye miaka 72 anatokea Nepal anaurefu wa inchi 21.5 na Mwanamke mwenye miaka 18 Jyoti Amge anatokea Nagpur India anaurefu wa ichi 25.
 
Ilikuwa ni katika kupiga picha kwa ajili ya promo ya maandalizi ya kitabu cha Guiness World Records kitakachotoka Septemba 2013.

0 maoni:

Post a Comment

Labels