Chibwa wa Tanchy amesema Muziki wa Raga na Dancehall Unawatu wengi lakini wamekuwa hawaonekani wala kufahamika kutokana na kukosa Support kwa Media kama Muziki Mwingine
Mshindi wa Tuzo ya Raga na Dancehall kupitia Tuzo za KTMA 2014 Chibwa ameutabilia Makubwa Muziki huu kwa Miaka Michache ijayo....Amesema hayo wakati wa Mahojiano na Mtangazaji wa Kituo cha Redio "Mbeya Highlands Fm" wakati wa Tour yao Mbeya Inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ
2 months ago
0 maoni:
Post a Comment