Pages

Sunday, September 29, 2013

Miss Philippines avishwa taji la Miss World na miss kutoka Ghana awa mshindi tatu. Angalia picha ya tukio jinsi lilivyokuwa

miss world
Miss Philippines  Megan Young mwenye umri wa miaka 23 amevishwa taji la Miss World ambalo limefanyika leo hii huko Indonesia. Megan ni mzaliwa wa Marekani na ana umri wa miaka 23 anasomea mambo ya digital film. Mshindi wa pili ametoka France na watatu kutoka Ghana.

Megan akitoa hotuba ya shukrani baada ya kuvishwa taji na Wenxia Yu wa China ambaye ndiyo Miss World aliyemaliza muda wake leo, Megan ameahidi kuwa miss world bora zaidi ya waliowahi kutokea.
995516_555633037824176_564996907_n
1382107_555683994485747_610847827_n (1)
559837_555611951159618_2054106488_n
1235462_555612107826269_1813106139_n
1375877_555695317817948_68335901_n
1379289_555682527819227_1871897359_n
1382163_555612087826271_124534911_n


0 maoni:

Post a Comment

Labels