Pages

Monday, February 03, 2014

YULE DADA ALIYEMCHUKULIA WEMA SEPETU BWANA , ATIA AIBU BAADA YA PICHA ZAKE ZA UTUPU KUONEKANA MTANDAONI.


Rafiki kipenzi wa Wema Sepetu mwanadada Naima ambaye ndiyo anamiliki mpenzi wa zamani wa shosti yake anayejulikana kwa jina la Clement ambaye ni kigogo na pedeshee wa mjin hapa, hivi karibuni aliachia picha mtandaoni akiwa mtupu na kufanya watu washikwe na mshangao na kumshangaa dada huyu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels