Pages

Tuesday, May 28, 2013

ALBERT MANGWEAR afariki dunia katika hospital ya ST.HELLEN iliyopo JO'BURG South Africa

ALBERT MANGWEAR afariki dunia katika hospital ya ST.HELLEN iliyopo JO'BURG South Africa

Habari kutoka kwa washkaji zangu walioko South Africa wamenipa ripoti ya kwamba msanii aliyekuwa akiwakilisha kundi la EAST ZOO Albert Mangwear amefariki dunia katika hosp ya St. Hellen iliyopo Jo'burg 

0 maoni:

Post a Comment

Labels