Pages

Tuesday, May 21, 2013

PAMOJA NA KWAMBA MSANII KALA JEREMIAH ANASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA AMESEMA HATOFANYA SHEREHE YEYOTE

Msanii Kala Jeremiah akiwa eneo ambalo walizikwa baadhi ya waliokufa kwenye Ajali hiyo miaka 17 iliyopita.

Pamoja na kwamba leo ni siku yake ya kuzaliwa lakini amesema kuwa hatafanya sherehe yeyote ile wala kukata keki na badala yake atawaaombea ndugu na marafiki waliokufa kwenye ajali hiyo.

0 maoni:

Post a Comment

Labels