Pages

Sunday, June 30, 2013

CRISS BROWN | CHRIS BROWN AMKANA MISS URUSI NA KUMWITA MALAYA

Mwanamuziki wa Pop Chris Brown ameanzisha vita vya maneno na Miss Urusi baada ya kumwita mwanamke huyo malaya.

Brown hivi karibuni aliripotiwa kuwa na mahusiani ya kimapenzi na Olga Gure Kovalenko ambaye ni Miss Urusi 2013, lakini msanii huyo aliibuka na kudai kuwa hakuwa na haja na binti huyo zaidi ya kumchukulia kama malaya na alimtaka kwa ajili ya kufanya naye mapenzi na kumwacha.

0 maoni:

Post a Comment

Labels