December mwaka jana Fat Joe aka Joseph Cartagena
alikubali kosa la kukwepa koda zilizo takiwa kulipwa katikati ya mwaka
2007 na 2008, na alikuwa akisuburi hukumu. Fat Joe alitengeneza dola
milioni 3 kwenye muda huo na kwamba hakulipa koda mpaka mwaka 2010. Well
walisema angepatikana na hatia, adhabu ilikuwa miaka 2 ila jana
amehukumiwa miezi minne jela, na faini ya dola $15,000 fine, Fat Joe ataanza kutumikia kifungo chake August 26 2013.
สมัคร wing888 VIP เว็บตรงคุณภาพสูง และบริการคุณภาพ
3 months ago
0 maoni:
Post a Comment