Pages

Thursday, June 27, 2013

Hukumu Ya Fat Joe Kwenye Kesi Ya Kukwepa Kodi Imetajwa.

December mwaka jana Fat Joe aka Joseph Cartagena alikubali kosa la kukwepa koda zilizo takiwa kulipwa katikati ya mwaka 2007 na 2008, na alikuwa akisuburi hukumu. Fat Joe alitengeneza dola milioni 3 kwenye muda huo na kwamba hakulipa koda mpaka mwaka 2010. Well walisema angepatikana na hatia, adhabu ilikuwa miaka 2 ila jana amehukumiwa miezi minne jela, na faini ya dola $15,000 fine, Fat Joe ataanza kutumikia kifungo chake August 26 2013.

0 maoni:

Post a Comment

Labels