Pages

Thursday, June 20, 2013

Lil Wayne Kaboa Mashabiki Zaki Kinoma.

 

Rapper Lil Wayne ameonekana kukosa Heshima kwa nchi yake Baada ya picha za rapper huyo kusamba zinazo muonyesha akikanyaga bendera ya Marekani. Kwenye utengenezwaji wa video ya single yake mpya ya `God Bless Amerika' mafundi wanaonekana wakiweka vizuri bendera hio na baada ya muda Lil Wayne anaonekana anaikanyaga mbele za watu.
Video na picha za kitendo hichi zinaonekana kutoka kwenye simu ya mtu aliyo kuwa eneo la tukio. Mstari wa Lil Wayne unaozungumzia Marekani kwenye huu wimbo Ndio Huu
 “My country ‘tis of thee/ sweet land of kill ‘em all and let ‘em die/ God bless Amerika/ This so godless Amerika … the stars on the flag are never shining.”

0 maoni:

Post a Comment

Labels