Pages

Tuesday, April 09, 2013

SHABIKI ACHORA TAtTOO YENYE JINA LA RAPPER GODZILLA MGONGONI.

Rapper kutoka SalaSala Godzilla amefurahishwa sana kwa kitendo alichofanyiwa na Shabiki wake kwa kujichora Tatoo yenye jina la Rapper Huyo KING ZILLA.

Kama Shabiki Wake na Ameonyesha Kukubali Hustle Zake So Much Love Kwake, Binti huyu aliye fanya hivi hajawahi kukutana na Godzilla Na Hawajawahi Hata Kuongea. Alimtumia picha hizi kwenye email. King Zila Aliweka Hizi Picha Kwenye Ukurasa Wake Wa Facebook.


0 maoni:

Post a Comment

Labels