Pages

Thursday, July 04, 2013

EXCLUSIVE PICTURE | HUYU NDIO MTOTO WA MSANII IZZO B



Mtoto wa kike wa Izzo B

List ya wasanii wa hip hop Tanzania waliobahatika kupata watoto inazidi kuongeza sasa. Na sasa chama cha wazazi vijana kinamkaribisha rasmi, Emmanuel Simwinga aka Izzo Bizness kundini.
 
Hitmaker huyo wa Love Me, ameshare picha hiyo ya mwanae kwenye Instagram ambaye anaonekana kufanana naye hasa macho, na kuandika ‘Miss Bizness’.
 
Izzo B  amethibitisha  kuwa huyo ni binti yake na amesema ‘hakuna utajiri mkubwa duniani kama wa mtoto’.

0 maoni:

Post a Comment

Labels