Pages

Wednesday, August 28, 2013

LYRICS | MRS SUPERSTAR - YOUNG KILLER

Kila mwanadamu anaupendo.

mwingne anawaza., vp atampataje,amtakaye..

sio kwamba na act..no niko real...

japo msodoki ni mdogo.,ila nauwezo waku feal...

fikra zangu zinani2ma nidate kwa maunda zoro.

najua ntaleta jiras kwa brother.,banana zoro

xaxa vp ningekua na penny,.iv ntakua free...

au kama ni ngekua na mwasit wa t.h.t..

ila penny na his diamond atanisumbua.,

hata mwasiti najua pendo  langu ata livua...

kwanza long time agoo.,

nishazimikaga na wema ila skendo za magazet daaa..

moyo wangu ukamtema,...

nikachukia mapapalazi niakahis wameharibu bahat.. moyo wangu nikauweka bondi..kwa chiku mwanaharakati...

ila wote 2nachana hatuta dumu magetoni,..

nklipozimika na besta..marlow akapiga honi,..

madam Lita na salama nikaogopa mcharuko wa b.s.s....

nimemove mpaka dar wolper ni mchane face 2 face....

ila roho inakataa inaogopa waigizaji...

macho yalisha2ua kwa frola h..baba akamuitaji...      

CHORS..BRIGHT & NE-MO..


Wapo weng nataman kuwa nao in my life..
muda mwingi natumia kuwaza nani atae nifaaa.
mrs super star nani ni mwite love..x2..

VERSE..2
Hiz hisia zangu..sidhan kama nakufuru...

akili inanituma niende sambamba na lulu...

ila naogopa yasinitokee ya kanumba 

nikasukumwa nikafa wengne wakang'oa mchumba..

ama ray c.. Nikimcheki machoni haish...

kile kiuno bila mfupa kingenipikia mapish..

ila ghafla nikaogopa niliposikia ana mchizi...

baada ya kuuliza ni nani..kumbe mnako lordyeä...

love kwa pipi atanipa upendo wa kina...

au tuta achana njia panda kama amini na linah...

kwenye love staki kukosea.,kua na mrembo mwene visa...

niwe na teya.,au nimuache ni date kwa mona lisa....

nikadata na diva..ile sauti ni soo...

ye ndo mgonjwa kwa raha zangu atanifia itakua soo...

sura ya pesa aunt ezekiel..young xna hela..

vanesa mdee najua hawezi kush kisela....

mara jokate kichwani akanitawala mpaka basi, 

nikajua ata nikisema nahisi hatonipa nafasi...

namuomba mungu ili anipe jift..special ....

isingekua kizungu zungu basi...

ningekua na recho....

.CHORS.. BRIGHT & NE.MO

Wapo wengi natamani kuwa nao in my life.. muda mwingi natumia kuwaza nani atae nifaa..
mrs superstar nani nimwite love..:x 2

VERSE..3

Usiku silali.. usingizi autokei...namuwaza johari...

ila ule ukaribu na ray....unanipa wasiwasi...

na mi sitaki  nijute...

basi nikahamia kwa daina baada ya kusema nimvute....

shilole naogopa...kumwambia yanayo nisibu,...

kwa khadija nikakope kopa....

nije nimpe taratiibu...nahisi ataniadhibu pedesheee...

wanafitina maana atahitaji matunzo chaa ajabu mi uwezo 

sinaa...nampenda uwoya mtoto wake ataniitajee.,..

kaka .,baba..ndikumana atanionaje...

hizi hisia zangu wala siitaji aswali....mi napend. 

Kuitwa babu bibi cheka ata kubali....

0 maoni:

Post a Comment

Labels