Pages

Friday, July 19, 2013

Sababu Za Eminem Kukataa Kuigiza Kwenye Filamu Ya Elysium. Fahamu Nani Kachukua Nafasi Yake.

Awali Ilisemekana kuwa star Eminem amepigwa chini kwenye orodha ya stars waliochaguliwa kuigiza kwenye filamu mpya ya "Elysium".Bonyeza Read More kufahamu Zaidi
Sasa chukua hii, Ukweli ni kwamba Rapper/ Actor Eminem alikata kuigiza kwenye filamu hio baada ya watayarishaji kumwambia kuwa mji wake wa Detroit haupo kwenye orodha ya sehemu itakayo fanya hio filamu.

Eminem anafahamika kuwa mstari wa mbele katika kuonyesha mapenza na mji wake wa Detroit huko Michigan na mapenzi hayo yamesababisha akose nafasi ya kuwa Main Character wa Filamu ya Elysium. Sehemu hio amepewa mwigizaji Matt Damon aliye kuwa mtu wa tatu kwenye orodha ya watu wanaoweza kuicheza hio sehemu vizuri kwa mujibu wa Director wa filamu hio Neil Blomkamp's.

Kwa mujibu wa Rolling Stone, Mtu wa kwanza kupewa mchongo huo alikuwa rapper kutoka South Africa Ninja.
  
 Elysium Ipo theaters August 9. 

0 maoni:

Post a Comment

Labels