Steve Wozniak, Steve Jobs
Imefahamika
pia katika Siku ya wakina Baba Duniani, Steve Wozniak aliwapatia Kim na
Kanye heshima ya kuwatembelea nyumbani kwao na pia kumwona mtoto wao -
North West.
Kanye West ndiye aliyeamua kuweka zawadi hii wazi kupitia mtandao wa Twitter ili kuwafahamisha mashabiki wake kote duniani.
|
0 maoni:
Post a Comment