Pages

Thursday, February 28, 2013

SASA SOGGY KUFANYA KAZI NA REDIO EBONY FM MKOANI IRINGA


Msanii/Mtangazaji Soggy Doggy ameacha mzigo pande za redio Uhuru na leo rasmi ameondoka Dar es salaam nakwenda Iringa ambapo atakuwa akifanya kazi katika kituo kingine cha Redio kinachoenda kwa jina la Ebony Fm.
 
Soggy Doggy ashawahi kufanya kazi katika vituo vya redio mbalimbali hapa nchini kama Arusha na Mwanza.

0 maoni:

Post a Comment

Labels