Pages

Thursday, February 28, 2013

JA RULE KUTO SHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KUTOKANA NA MWAKA HUU KUWA MFUPI.........JA RULE ALIZALIWA FEBRUARI 29


Msanii Ja rule mwaka huu 2013 hatasherehekea siku yake ya kuzaliwa kwasababu mwaka huu ni mfupi, ikimaanisha mwezi wa 2 umeishi tarehe 28 wakati yeye Jarule amezaliwa tarehe 29 mwezi wa 2.
 
Jarule juzi kati tu tarehe 21 alitoka jela lakini alijikuta akiwa chini ya ulinzi tena kutoka na madeni ya kodi anayodaiwa.

0 maoni:

Post a Comment

Labels