Pages

Sunday, February 10, 2013

SIZE 8 AMETOLEA NJE OFA YA KUPIGA SHOW KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI NCHINI KENYA

KENYA:
MAMITO mwenye Mpunga wa kutosha Nchini Kenya, namzungumzia Size 8 (Pichani) ametolea Nje ofa za kutumika kupiga show katika Kampeni za Uchaguzi zinazochukua kasi Nchini humo

Kwa mujibu wa mwanamama huyo ambaye hajui ni kiasi gani cha fedha alicho nacho sasa hivi na wala hajasumbuka kupiga mahesabu, amedai kuwa amekuwa licha ya wasanii wengi wa Kenya kushirika katika kupiga kunako kampeni mbali mbali za Uchaguzi nchini humo, yeye ameamua kupiga chini ofa ambazo amekuwa akipewa mara kadhaa na wanasiasa mbali mbali wanaoshiriki uchaguzi nchini humo, huku sababu yake kuu ikawa ni kutaka nchi yake iwe na amani na hawezi kujihusisha na suala hilo

0 maoni:

Post a Comment

Labels