Pages

Tuesday, February 12, 2013

Aika Aka First Lady wa Pah 1 ametangaza Rasmi Kujitoa kwenye kundi la Pah 1 pamoja na Rapper na Producer wa Pah One `Nah Real'.

Aika Aka First Lady wa Pah 1 ametangaza Rasmi Kujitoa kwenye kundi la Pah 1 pamoja na Rapper na Producer wa Pah One `Nah Real'.

Aika amesema kutokuelewana kwenye kundi ndio kumefanya ajitoe na hajawahi kuongelea jambo hili mapema kwani hakutaka watu wahukumu upenda wowote wa kundi hilo nakuonekana ndio lenye makosa. 

Pia Aika amesema Nah Real pia ni solo Artist na yeye na Nah Real Hawaja vunja Kundi Hilo na wamechukizwa na taarifa kuwa mapenzi yake na Nah Real Ndio yamevunja kundi hilo. 

Wimbo wa kwanza wa Nah Real Na Aika utatoka tarehe 14 Mwazi Huu.

Habari ni kwa Hisani ya:-www.sammisago.com

0 maoni:

Post a Comment

Labels