Pages

Sunday, February 10, 2013

Wasanii kutoka Kigoma wakifanya Shooting ya Tangazo la shirika la Hifadhi Ya Jamii ya [NSSF

 
Wasanii kutoka Kigoma wakifanya Shooting ya Tangazo la shirika la Hifadhi Ya Jamii ya [NSSF]... Pichani anaonekana Diamond Platnumz, Queen Darleen, Chege na wengineo.

Kundi hili kwa pamoja ni wasanii kutoka mkoa wa kigoma wakifanya vizuri kimuziki wakijulikana kama Kigoma All Stars wakitamba kwa ngoma zao kama LEKA DUTIGITE na mpya iliyotoka hivi karibuni, NYUMBANI...

0 maoni:

Post a Comment

Labels