Pages

Tuesday, February 26, 2013

BREAKING NEWZ:-Radio Imani, Kwa Neema FM zafungiwa... Clouds FM yatozwa faini!

Radio hizi mbili zimefungiwa miezi sita, na Clouds FM kupigwa faini ya milion 7

KWA NEEMA FM Mwanza: Sababu ni kushabikia maswala ya uchinjaji Mwanza

Radio Iman FM Morogoro: Kushabikia watu kutoshiriki Sensa 2012

Clouds FM:
~ Kuendesha/kusabikia masuala ya ushoga wakati wa uchaguzi wa Marekani, kuendesha kipindi cha uchochez wakati wa uchaguzi wa Marekani
~ Kuendesha kipengere cha 'Jicho la ng'ombe' kisichofata maadili

TCRA kitego cha mahudhui ndio kimefanya kazi hii leo 
 
cHONZO:-EA radio & Jamii Forums

0 maoni:

Post a Comment

Labels