Pages

Monday, September 10, 2012

BI KIDUDE ATOKA HOSPITAL


Hatimae mwanamuziki nguli wa muziki wa Taarabu asilia Bi Kidude Binti Baraka,ametoka Hospital ya Hindu Mandal alipokuwa amelazwa,akiongea na Pro-24,muuguzi aliyekuwa akimuhudumia mwanamuziki huyo amesema mwanamuziki huyo,alikuwa akisumbuliwa na uchovu ambao umesababishwa na umri mkubwa aliokuwa nao,aliongeza kuwa vipimo vinaonyesha hata tatizo lolote la kiafya na walichokifanya ni kumwekea Drip za maji ili apate nguvu...na ameruhusiwa kutoka hospital hapo..
 
Na pro-24

0 maoni:

Post a Comment

Labels