Pages

Thursday, January 17, 2013

MWANA FA KUJA NA THE FINEST HIVI KARIBUNI

       
Msanii anayefanya poa na kazi yake ya Yalaiti maarufu kama Hamis Mwinjuma aka Mwana Fa sasa yuko mbioni kuachia kitu kipya kitakacho kwenda kwa jina la The Finest.

Mwana Fa amepost picha hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram, hivyo mashabiki wake kaeni tayari kwa kitu hicho kipya kutoka kwa rapper huyo.

0 maoni:

Post a Comment

Labels