Pages

Thursday, January 31, 2013

Rapper na Producer Timbaland amesaini mkataba na Record lebel ya Jayz `Roc Nation'

http://api.ning.com/files/W-cvbOicaVXfNoWx1lbtOjQo5qTEd67eYXeGWbq2PUxrXLFSUF-WVcUdVZhg1XWsGPwRgrogOh4G5OgzsRbe5nYv0GmVHz67/jayz.jpg 
Rapper na Producer Timbaland amesaini mkataba na Record lebel ya Jayz `Roc Nation' unaomtambulisha kama msanii chini ya lebel hio.

Jay-Z ametangaza habari hizi kwenye mtandao wake wa Life + Times kuwa Timbaland yupo chini ya Roc Nation na wanamkaribisha sana.

 Jayz na Timbaland wamefanya kazi Pamoja kwa Muda Mrefu, kama unakumbuka mwaka 1998 Timbaland alitengeneza wimbo wa Nigga What ,Nigga Who , Wakaja tena kufanya Big Pimpin ,Dirt Off Your Should na Off That ft Drake.

Kazi ya Mwisho Timbaland amefanya na Jay z ni Wimbo wa Justin Timberlake ft Jay z – Suit And Tie. Mpaka sasa wasanii kama M.I.A ,Meek Mill, Elijah Blake na Jahlil Beats.

Jenga Picha Jay z na Timbaland wakiwa Studio wanatengeneza Beat Kwa ajili ya Timbaland.Nomaa. 

0 maoni:

Post a Comment

Labels