Pages

Thursday, January 31, 2013

DIAMOND AMKAMATA MMOJA WA WACHAWI WAKE

 
Zikiwa zimepita siku 29 tangu alipofanyiwa vurugu za kutosha msanii anayetamba na kazi yake ya Kesho si mwingine Diamond wakati wa show yake aliyokuwa akiifanya ndani ya Maisha Club na kusababisha watu kadhaa kuumia na  chupa kurushwa pamoja na mayai viza.
 
Huku akiachwa bila ya cheni ,saa wala miwani aliyokuwa amezivaa na kuambulia boooooo kibao siku ya jumamosi Diamond alipokuwa akielekea Kigamboni kwenye show aliyokuwa anaifanya huko akiwa na msanii Z Anto alifanikiwa kumkamata mmoja wa walioanzisha vurugu hizo akiwa ndani ya pantoni nae akielekea kigamboni

msikilize Diamond hapo chini, akiwa na Gossip Cop Sudy Brown kwenye UUUUUU HEEEAAARRD

0 maoni:

Post a Comment

Labels