Pages

Monday, January 21, 2013

BALL PLAYER NI UJIO MPYA WA HIP HOP ICON KUTOKA MBEYA "IZZO B" JUMATANO HII

 
Jumatano hii mashabiki wa Izzo Bizness wategemee kitu kipya kutoka kwake. 

Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Emmanuel Simwinga anatarajia kauchia single yake mpya iitwayo ‘Ball Player’ aliowashirikisha Quick Rocka na Ngwair.

Izzo amesema kuwa beat ya Ball Player imetengenezwa na Nahreel huku vocal na final mixing ikafanywa na Lamar wa Fish Crub.

Amesema wazo la kuja na wimbo wenye jina la ‘Ball Player’ ni kulinganisha juhudi za mchezaji mpira awapo uwanjani ambaye huwa na pilila pilika muda wote na jinsi ya kutumia mfano huo katika maisha ya kawaida. 

Amejitolea mfano yeye wakati anakuja Dar es Salaam kutokea Mbeya alifikia kwa washkaji lakini kwa sasa anaishi kwake mwenyewe kutokana na juhudi zake katika kutafuta maisha.

0 maoni:

Post a Comment

Labels