Pages

Wednesday, January 16, 2013

NGWEA KUJA NA NGOMA MAALUMU KWA SIKU YA WAPENDANAO



Rapper Albert Mangwea aka Ngwair amesema wapendanao wajiandae kusikiliza ngoma yake special kwaajili ya siku ya yao, Valentine’s Day, February 14.

Ngwair ameiambia Bongo5 kuwa ngoma hiyo aliyoifanya AM Records chini ya producer Manecky inaitwa ‘Alma’.

 Amesema Alma itatoka siku mbili kabla ya Valentine’ Day na itakuwemo kwenye albam yake mpya iitwayo MIMI 3.

Ameongeza kuwa Ngoma hiyo 'Mimi 3 'itatoka mwezi April mwaka huu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels