Pages

Sunday, January 20, 2013

PICHA:-RIVER CAMP MASKANI KWA WASANII JOH MAKINI,NIKI WA2,BONTA ARUSHA

Kwenye picha ni Ras Omega ambaye ni moja ya waanzilishi wa River Camp na msanii Nikki Wa pili(Mdogo wa Joh Makini)wakiwa sehemu ya kuingilia ya maskani hiyo iliyopo maeneo ya Uzunguni Arusha.
humo ndani kuna matunda ya kila aina
Kuna aina ya mboga tofauti tofauti kama unavyoona pichani hizo ni moja ya mboga ambazo nazipenda sana 'Salad' na niliambiwa kuwa kabla ya Joh Makini kuingia kwenye muziki alikuwa na vitalu vyake kadhaa yaani analima hizo mboga.

Nilifurahia mazingira ya asili ya maskani hiyo ambayo katika maskani zote Arusha nilizotembelea hii imetisha zaidi kwa mazingira mazuri.S/O kwa Nikki wa pili na Ras Omega mmetisha sana

0 maoni:

Post a Comment

Labels