Pages

Thursday, January 31, 2013

CHRIS BROWN AJITOA INSTAGRAM

 
Msanii Chris Brown, ameamua kujitoa katika mtandao wa instagram, siku ya jana, baada ya kuona mambo hayaendi sawa, inawezekana ni kutokana na comment za mashabiki  kwa kile alichokua anakituma na kukiandika, kabla ya kujtoa aliamua kuandika ujumbe huo hapo juu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels