Pages

Monday, January 14, 2013

WABABA WA EBSS-2012 AKABILIWA NA KESI YA KUTEMBEA NA MWANAFUNZI

 Mapenzi yao yalianza tangu binti akiwa kidaato cha tatu lakini halikuwa penzi lenye mashamu shamu kwa kuwa wababa alikuwa bado hajamiliki pesa na heshima katika jamii inayomzunguka kama sasa mara tuu baada ya kuchukua kifuta jasho cha EBSS na vijihela alivyopewa na mapapaa waliokubali kazi aliioifanya EBSS hivyo kuwa na
kiburi kilichomfanya amtie mimba mwananfunzi ambae aligundulika kuwa ametoa mimba mara taarifa za mahusiano ya wababa na mwanafunzi huyo kufikishwa kwa mama mzazi wa binti huyo. 
Wababa aliwekwa ndani kwa muda wa siku mbili na kesi bado ipo mahakamani na wazazi wa binti wameapa kumweka ndani wababa na kumfanya kama Babu Sea huku binti akiwa hajaonekana siku ya 4 sasa na kutokujulikana alipo kwa madai anampenda wababa na wakimfunga tu nae anakunywa sumu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels