Pages

Thursday, January 17, 2013

H BABA SASA KURUDI DAR AKITOKEA MWANZA

NYOTA wa filamu na muziki wa kizazi kipya, Hamisi Ramadhani ‘H.Baba’ anatarajia kurudi toka Mwanza alipokuwa na mpenzi wake Frola Mvungi ambapo walichukuwa mapumziko ya miezi miwili kuja Dar es salaam kwaajili ya kuachia ngoma yake mpya Funga Zipu.

0 maoni:

Post a Comment

Labels