Pages

Wednesday, January 16, 2013

BARNABA AZUNGUMZIA MALENGO YAKE KATIKA MUZIKI WA BONGO FLEVE BAADA YA KURUDI


Msanii wa kizazi kipya kutoka THT  naanayefanya poa hapa bongo na nje kupitia kazi zake maarufu kama Barnaba baada ya kumaliza ziara yake huko London sasa pia ana mpango wa kufanya vitu vizuri vipya katika tasnia hii ya muziki soma huu ujumbe aliyoandika kupitia katika ukurasa wake wa twitter.

0 maoni:

Post a Comment

Labels