Pages

Monday, January 14, 2013

Hatimaye Lady Jaydee Amaliza Ziara Yake Ya Kupanda Mlima Kilimanjaro.

        

Msanii Lady Jaydee hatimaye jana ndio amaliza ziara yake ya siku sita ya kihistoria ya kupanda mlima wa Kilimanjaro.

Ziara hiyo ambayo alianza siu ya January 8 akiwa na lengo la kutangaza utalii wa ndani ya Nchi ya Tanzania huku akiwa ameongozana na mumewe Gadner G Habash ambae pia ndio msimamizi mkuu wa kazi zake zote.

Msafara wa Lady Jaydee uliwasili jana katika lango kuu la Marangu saa kumi na Mbili Jioni na kupokelewa na mhifadhi mkuu wa Hifandi ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) Bw. Erastus Lufungilo.

0 maoni:

Post a Comment

Labels